Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stations ni kweli nzr ila ilo dude linalotoka hapo ss
tapatalk_1582051707511.jpeg
 
Afu mchina alivyomtaalam wa decorations, kokoto kawawekea zmejipanga haswaa utazani labda ni reli ya umeme kumbe

Alafu apa nazani watakuwa wameajiri watu wa kupanga kokoto ziendelee kuwa na muonekano mzuri mana yule mjomba akipita hapo lazima atimue timue kila kitu jamaa kwa sifa hawaa.
tapatalk_1582051867943.jpeg
 
Stations ni kweli nzr ila ilo dude linalotoka hapo ss View attachment 1362114
SGR ya kenya ni total bullshit. Fedha nyingi sana zimetumika kutengeneza vitu visivyo na umuhimu. Mistesheni mikubwa porini, haya na hiyo observation tower kwenye station ya mombasa sijui nani hata anapanda huko juu. Hata kwenye hydroseeding wameweka cement ndo wakapanda majani yaani ni vitu vya kijinga hapo hela imeishia tena usikute baadhi ya fedha zilichakachuliwa wakubwa wakamega kidogo. Eti modern sgr......mitungi inayosafirisha watu ndio hii. Ni aibu tupu yaani wenye ngozi nyeusi ndio mambo yetu yanakuwa ya kijinga na viongozi wetu hao hao ndio wanafanya hivi. Angalia Morocco halafu angalia na kunyaland
780CB898-35D6-42F7-B00C-190169825C20.jpeg
Kenya-Vs-Morocco.jpg
 
lwiva ulikuwa wp mzee group lilipoa hili
Nilipigwa ban baada ya kuleta Uzi wa namnagani serikali ya Kenya imeusika kuwekewa vikwazo Na marekani ,Nilitaka kushusha nondo hatari kwenye huo Uzi ,
Kunasiku nilisema hapa majeshi ya Kenya yalikimbia baada ya al shabbab kuvamia kambi ya jeshi Kenya na USA na kuua wamarekani nikaonekana muongo nikala BAN baada ya siku chache repoti kutoka kwa wamarekani wenyewe ikatoka kuwa wanajeshi wa Kenya walikimbia na kujificha maporini tena habari ya chini ya kapeti zinasema kdf 20 walikimbia wakiwa uchi maana walikuwa wanaoga kama mang'ombe pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa ban baada ya kuleta Uzi wa namnagani serikali ya Kenya imeusika kuwekewa vikwazo Na marekani ,Nilitaka kushusha nondo hatari kwenye huo Uzi ,
Kunasiku nilisema hapa majeshi ya Kenya yalikimbia baada ya al shabbab kuvamia kambi ya jeshi Kenya na USA na kuua wamarekani nikaonekana muongo nikala BAN baada ya siku chache repoti kutoka kwa wamarekani wenyewe ikatoka kuwa wanajeshi wa Kenya walikimbia na kujificha maporini tena habari ya chini ya kapeti zinasema kdf 20 walikimbia wakiwa uchi maana walikuwa wanaoga kama mang'ombe pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana, ss tuendelee na uzi tuwakimbize hawa mbuzi wa humu.
 
SGR ya kenya ni total bullshit. Fedha nyingi sana zimetumika kutengeneza vitu visivyo na umuhimu. Mistesheni mikubwa porini, haya na hiyo observation tower kwenye station ya mombasa sijui nani hata anapanda huko juu. Hata kwenye hydroseeding wameweka cement ndo wakapanda majani yaani ni vitu vya kijinga hapo hela imeishia tena usikute baadhi ya fedha zilichakachuliwa wakubwa wakamega kidogo. Eti modern sgr......mitungi inayosafirisha watu ndio hii. Ni aibu tupu yaani wenye ngozi nyeusi ndio mambo yetu yanakuwa ya kijinga na viongozi wetu hao hao ndio wanafanya hivi. Angalia Morocco halafu angalia na kunyaland
View attachment 1362135View attachment 1362136
Halafu wachina walivyo washenzi wamewawekea bendera mbele ili kuwatangazia dunia iwacheke vizuri, huna haja ya kuuliza hivi hawa vilaza ni wa wapi
 
Back
Top Bottom