Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka tizima shimo la panya.....umo ikitokea distraction ngoma inakwama humo humo hatoki mtu
images-1.jpeg
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni tullow and TOTAL kwa hasara poleni wafanyakazi 600 mliofukuzwa kazi karibu mchina utawale Kenya asante jubilee🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

 
Na huu uzi ulitokapi? Ni utoto mtupu. Hii pissing contest itafaidi nani? Mi ni mkenya na sijawai kuona idea ya kitoto kama hii. Kila mji uko na uzuri na ubaya wake. Otherwise wale watz wamejaa nairobi hasa gikomba hawangeonekana huko.kwa hivyo wale wanaendeleza hii thread wanajionyesha vile wako na umaskini wa kiakili. Yes. Nimesema.east africans kweli tuko na ujinga !!!
 
Na huu uzi ulitokapi? Ni utoto mtupu. Hii pissing contest itafaidi nani? Mi ni mkenya na sijawai kuona idea ya kitoto kama hii. Kila mji uko na uzuri na ubaya wake. Otherwise wale watz wamejaa nairobi hasa gikomba hawangeonekana huko.kwa hivyo wale wanaendeleza hii thread wanajionyesha vile wako na umaskini wa kiakili. Yes. Nimesema.east africans kweli tuko na ujinga !!!
My Advice:Huu Uzi achana nao tu....endelea na mishe zako usipate tabu ya kutumia energy nyingi ya maneno..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huu uzi ulitokapi? Ni utoto mtupu. Hii pissing contest itafaidi nani? Mi ni mkenya na sijawai kuona idea ya kitoto kama hii. Kila mji uko na uzuri na ubaya wake. Otherwise wale watz wamejaa nairobi hasa gikomba hawangeonekana huko.kwa hivyo wale wanaendeleza hii thread wanajionyesha vile wako na umaskini wa kiakili. Yes. Nimesema.east africans kweli tuko na ujinga !!!
Ss we ndio mjinga wa mwisho, km unaona huu uzi ni wa kijinga kipi kimekufanya upite? Yaani kweli we ni chizi sn, watu wenye akili zao wapo humu af we kenge mmoja kutoka kibera unakuja kuongea ushuzi humu, mjinga kweli we, and this stupid shows the clear definition of the word kunyan.
 
Back
Top Bottom