babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
GDP ya kwenye makaratasi ya kufungia vitumbua 😂😂😂Utaskia wanakuja kesho kukwambia mambo ya GDP🤣🤣🤣🤣🤣
Ndo nlikuwa nmemuuliza wapi hyo af ole wake angesema Dar ningemwaga mavi kwa mikono yng miwili...Ukiniletea kithibitisho kua hio picha ya kwanza na yatatu ni dar mm nafunga account jamii forum mark my wordsendelea kuokota picha za Google useme dar
Leo mkuu naona umeweka vitu vipya kabisa vyamotoo hehehehee
Mhh huyu Magu anazd kuvunja rekodi yn anaijenga Roma kwa ucku mmojaHii nchi inajengwa kimya kimya


Magu effect, kawaharibia mambo mengi sana na anazd kuwatesa ucku na mchanamiaka mitatu nyuma, kenya walivuma sana utalii hasa kupitia KQ, ni mda wetu sasa! holla to TTB
Wanataka iwekwe lamiJuzi Teargass alikuja akishangikia kuona ndani ya craters njia imeharibiwa na mvua
Huyu ni magufuli bro




tofauti yetu na nyie ni moja tu, nyie hamna jipya mnakomaa na maghorofa yenu uchafu cc tunawapiga na miradi itakayoleta maendeleo ya kweli 
Wazee wa westie mpoo!! daadeki ghorofa moja angle 100.