Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daaaaaaah! Astaqfirullah!! yaani imefika hii level!? Naona hiyo pombe imekuchafua, Kheri uendelee na ile ya Kilimanjaro!!!

Ukweli huo, sina nyumba Nairobi mimi!! Natafuta mihela nitanunua tu, haina mushkil!! nikishindwa na rudi kwetu Kitale bado nikubomba tu!

Ya kule namalizia, ntakuita kuifungua!!
3cEb7eOb6qKiGLKekpAJ-sVR3gERFh2tGGQINaGmXp78equ-T1yFl-LwvgllshBVZ_tv1S67qyn3nGTMxrwsliS-b0kRx-3-PrpG5eneKCxdpx4JJPkRyHf14vhQvhonrle-5V5vEUHJPEmMX9JKC7h2Lx1KUZeJUhpE5181xkhxZYFg2ps0YFgM2Lj5DkZMcpcEVIzHQvPYec-lA_PgGKr1iZJgVY9wry3WEBDPwee3Rp76Uhm4JHGGKtAtyopY2mUN0vlwYwcichnZa795eYPHkxzJq7z80FNv3JAqinmv7JVZ4Tu4jdKWBDwmqLYH3Nc1et2M2Jg9-j5uAzlPSN8w6bXi2B5dn67QsofPGlKuufxL7SDGndD4gyjiwO99dmbYCjX4ldP1jhi93QufYW1iXkLvq8-xAnXJJkv3R5vwRnCM3C6cqNkFnwqMw0X4ua7XCbcHXwnGVkhdcJ6qiRat61xkaqC7e7HKrigXJUXbqkJbcVt3ZbgLoQhtLOcmdLzlaY46VeeMIqpYwWwbEo8pB0BQg68vsfzwYRqZF0C4US_VnCctCSFQjYCpbwUekT1lP0B3Vm9bLGTkO4gvrC1rW4cORCigj26FQFaCcFKROm1wUWtc=w1280-h720-no
safi sana hawa majamaa wakikenya ...aisee bora mimi nisingekuwepo kwa hii thread ....kwani nitawapa shombo mwanzo mwisho wakijikweza tu ninao.....wakenya ni wapuuzi....
 
When Nairobi goes full glass
IMG_0642.jpg
wewe MZEE WA IQ acha ushamba .....hii dunia na sisi ndiyo yutakufunza......hauna
......maarifa kimantiki ila jiongeze .....na mlete houses za wakenya wote hapo nairobi na msilete surburb mpo so ....huzuni...nawahurumia ....na mda si mrefi nitaivamia mitandao yenu kisha soon i will be a star.......na hamtonigundua
 
tulicopy vp wakat south Africa sisi ndio tumewapa uhuru .....😀😀😀😀😀 Tanzania got independence 1961 south Africa 1994...
huyo jamaa ni pumba .....hawajui kama hata chanzo cha kupata wao uhuru pia ni TZ inahisika ...kweli wakenya ni konokono ...hivi kwanin hawajiulizi kwanini Tanzania haina tabaka la kuchukiwa hapa africa na dunia nzima tofauti na wao...

wakenya ni mwadogo zetu na mtabaki kuwa wadogo zetu au vip
 
Hahahahaaaaa. TENANT FOR LIFE! Ki ukweli mji wowote wenye life tenants ndio wenye mabepari wengi, lakini ndio ulioendelea zaidi ya mji ambao kila mkazi anaishi kwenye nyumba yake.
kwa sababu hiyo tukiangalia hili tutajua ni mji upi uko juu ili huu mjadala ufikie mwisho
nimegundua kuwa wewe ni mtanzania mwenzangu, lakini pia ni mgeni hapa kenyaforum.hivyo basi kwa kuwa mimi ni mwenyeji mzoefu hapa KF,nachukua fursa hii kukukaribisha rasmi,karibu sana.


nita kujibu kiustarabu ili kuweka record sawa lakini nitaomba ujibu maswali yangu kwa kuambatanisha na ushahidi.
(tatizo la hapa kenyaforum hatu-comment kisiasa almrad tu,lazima uweke ushahidi kidogo wa either link au picha/screenshot).

ni wapi ulitoa huo mtizamo.Je kuna tafiti yoyote iliyofanywa na taasisi inayotambulika ikadai kwamba mji wenye tenant wa kudumu ndio mji ulioendelea sana?.ushahidi ktk hili please.

kwa hiyo nairobi imeendelea kuzidi dar kwasababu watu wake wengi ni tenants?.ushahidi please.

ni sababu gani iliyosababisha nairobi yenye house tenant wengi kushinda dar ikawa na slums kubwa east africa na africa kwa ujumla.majibu na ushahidi tafadhali

kwa hiyo kwa mtazamo wako wewe,kuishi kwenye nyumba ya kupanga ni fahari na nafuu zaidi kuliko kuishi kwenye nyumba yako binafsi?.

tuanzie kwanza hapo halafu tuendelee na mjadala.

NB.
wakati unatafakari maswali yangu,naombe usome/utazame kwa umakini hii screenshot hapa chini.
90b165275d9a420b574b7aaeb8d4734f.jpg
 
je wew waishi huko.....je babu zako na wazazi wako wapo hapo....je wew ni mwanafunzi mpaka huishi kwenye hizo nyumba mfanano za boss moja je nyumba za mkenya mmoja mmoja mmeziweka wapi...je hivi wakenya nyie ni njaa kiasi hicho.....
 
nimegundua kuwa wewe ni mtanzania mwenzangu, lakini pia ni mgeni hapa kenyaforum.hivyo basi kwa kuwa mimi ni mwenyeji mzoefu hapa KF,nachukua fursa hii kukukaribisha rasmi,karibu sana.


nita kujibu kiustarabu ili kuweka record sawa lakini nitaomba ujibu maswali yangu kwa kuambatanisha na ushahidi.
(tatizo la hapa kenyaforum hatu-comment kisiasa almrad tu,lazima uweke ushahidi kidogo wa either link au picha/screenshot).

ni wapi ulitoa huo mtizamo.Je kuna tafiti yoyote iliyofanywa na taasisi inayotambulika ikadai kwamba mji wenye tenant wa kudumu ndio mji ulioendelea sana?.ushahidi ktk hili please.

kwa hiyo nairobi imeendelea kuzidi dar kwasababu watu wake wengi ni tenants?.ushahidi please.

ni sababu gani iliyosababisha nairobi yenye house tenant wengi kushinda dar ikawa na slums kubwa east africa na africa kwa ujumla.majibu na ushahidi tafadhali

kwa hiyo kwa mtazamo wako wewe,kuishi kwenye nyumba ya kupanga ni fahari na nafuu zaidi kuliko kuishi kwenye nyumba yako binafsi?.

tuanzie kwanza hapo halafu tuendelee na mjadala.

NB.
wakati unatafakari maswali yangu,naombe usome/utazame kwa umakini hii screenshot hapa chini.
90b165275d9a420b574b7aaeb8d4734f.jpg
Kuna tofauti kubwa sana kati ya homeless na tenancy life. Pia tofautisha kuishi kwenye slums na kuishi kwenye nyumba yako. Mara nyingi slums sio nyumba za kudumu, so usizihesabu kama ni nyumba. wanaoishi kwenye slums hawatakiwi kuitwa tenants au landlords. Bila shaka nimejibu maswali yako
 
mbona zote zinafanana buda.ina maana wote walikuwa na ramani moja?.

tazama hapa,kila nyumba ina muonekano wake.a real definition of owning a house of your dream,not someone's dream.
sasa wakae wakijua hiyo ndiyo tofauti baina ya wao na sisi kenya ni maskini sana ila pepa zawachanganya 90% ya apartment zao unaweza kuta nyumba 20 lakini anayemiliki ni boss mmoja ....wakenya wengine wote waliobaki ni maskini
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya homeless na tenancy life. Pia tofautisha kuishi kwenye slums na kuishi kwenye nyumba yako. Mara nyingi slums sio nyumba za kudumu, so usizihesabu kama ni nyumba. wanaoishi kwenye slums hawatakiwi kuitwa tenants au landlords. Bila shaka nimejibu maswali yako
kama haya ndio majibu yako,basi asante.

angalau nimejua mapema kuwa wewe ni mtu wa level gani.kumbe ningepoteza nguvu zangu bure.
 
Usitumie nguvu. Ongea kwa hoja
rudi hapa,jibu hoja zangu kwa ufasaha halafu tutiririke vizuri. usijibu kibashite bashite kama mtoto wa darasa la kwanza.
nimegundua kuwa wewe ni mtanzania mwenzangu, lakini pia ni mgeni hapa kenyaforum.hivyo basi kwa kuwa mimi ni mwenyeji mzoefu hapa KF,nachukua fursa hii kukukaribisha rasmi,karibu sana.


nita kujibu kiustarabu ili kuweka record sawa lakini nitaomba ujibu maswali yangu kwa kuambatanisha na ushahidi.
(tatizo la hapa kenyaforum hatu-comment kisiasa almrad tu,lazima uweke ushahidi kidogo wa either link au picha/screenshot).

ni wapi ulitoa huo mtizamo.Je kuna tafiti yoyote iliyofanywa na taasisi inayotambulika ikadai kwamba mji wenye tenant wa kudumu ndio mji ulioendelea sana?.ushahidi ktk hili please.

kwa hiyo nairobi imeendelea kuzidi dar kwasababu watu wake wengi ni tenants?.ushahidi please.

ni sababu gani iliyosababisha nairobi yenye house tenant wengi kushinda dar ikawa na slums kubwa east africa na africa kwa ujumla.majibu na ushahidi tafadhali

kwa hiyo kwa mtazamo wako wewe,kuishi kwenye nyumba ya kupanga ni fahari na nafuu zaidi kuliko kuishi kwenye nyumba yako binafsi?.

tuanzie kwanza hapo halafu tuendelee na mjadala.

NB.
wakati unatafakari maswali yangu,naombe usome/utazame kwa umakini hii screenshot hapa chini.
90b165275d9a420b574b7aaeb8d4734f.jpg
 
rondom photos of private houses owned by common citizens of dar es salaam.
23d861e8ffeb34e4d1fb9988d9a90d33.jpg
abbef4f6581a323d986a4a4a59ec701a.jpg
b680e81e0a77cfb3ecea7c0fad666283.jpg
49dadbfe0146486d2322ed6fe575fd74.jpg
1a9088376de7bcd1bb96ee6a0836a65d.jpg
8aa7dbf85aa7f5777f35baddcad0bc9b.jpg
f1a2001ca105914e2c2abc8e3217ad24.jpg
0d25a32a6e67fa2e9092ad2ee9531ecc.jpg
0c85b9fbe5d25115dba24b7f6ab97307.jpg
b38e53e97acf44a22b3566b8bf94aa71.jpg
506572a8f7f2fc86bf207aa8f4dc9a41.jpg
14424fb188fbfe9b0cd94d70b53aa7d8.jpg
cd3501a052e2cc66e6d56405ef39df94.jpg
0e5b6575644f3590f269effcc3b794cb.jpg
85eaefd04a9614e4bfe7d22ef846e24c.jpg
30e234de48e7ba41344aff08eaf8918b.jpg
8ef46f5f23c909a5cef2f66302e1bdb5.jpg
18f5f510a5a2a9516948cdfb12d54d23.jpg
 
NAIROBI,
Kenyans decided to "own" this kind of homes,--- see below--- because it is cheaper in the long run. You get the necessary infrastructure easily, like drainage system, internet services ... without a sweat. You ,still own the home, whether it looks exactly like your neighbours house, it is still a beautiful home in a serene environment, though some still prefer to build their own, actually the majority of people. People own homes in the rural areas, their birth place or "ushago" and in towns.. This nortion that Kenyans don't own land or property is a story you guys tell yourselves to sleep better.
6909180665_a855c6983c_b.jpg
ona sasa hizo hostel mnazoleta kuwa na akili....hiyo ni mali ya mtu mmoja na si mmoja mmoja......huko kapuku kama wewe hauwezi ishi na huku dar zipo izo sema hatujawaonyesha kwa maana twahitaji maisha ya uasilia
 
Back
Top Bottom