Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

rudi hapa,jibu hoja zangu kwa ufasaha halafu tutiririke vizuri. usijibu kibashite bashite kama mtoto wa darasa la kwanza.
hakuna swali la msingi ambali halijajibiwa hapo. Sanasana unataka kuniaminisha unachoamini wewe
 
rondom photos of private houses owned by common citizens of dar es salaam.
29bdbe9b7bc61d9a940b81e68f304635.jpg
91be538c9a4db44e315c858a4a9d2b7a.jpg
d0d1eb1dd2b62ff9a4ce40f9510209cf.jpg
1bfa6992a57b8f263cb8ef9281ee7570.jpg
da2a60d2bf1682dd7fa58b1f6261a968.jpg
5a5f70327661cb37bca7a601ed97434f.jpg
fc86a5e6d727e88060c29c9bf7eee058.jpg
77bc323eb4733da2edb6f01eac1fc482.jpg
1c9b40d2bcedad380d6ed2b9d70ecf64.jpg
ba0df508391c2ee2cd0fcd25fcce11fd.jpg
2e7050fa86ea40465424e5e3f7a0150a.jpg
c3b5b5b718439c766eb27cb0771e06c8.jpg
050e5b5c1ad27ba8fcd7d4bcd4ec8ad7.jpg
8d7e71be79ee8a21ea8bd6ca3faee9c0.jpg
f21ba9442828b2a20d8d316152a72885.jpg
16be24830c3e9aa1dfe577b26ab08a31.jpg
 
nimegundua kuwa wewe ni mtanzania mwenzangu, lakini pia ni mgeni hapa kenyaforum.hivyo basi kwa kuwa mimi ni mwenyeji mzoefu hapa KF,nachukua fursa hii kukukaribisha rasmi,karibu sana.


nita kujibu kiustarabu ili kuweka record sawa lakini nitaomba ujibu maswali yangu kwa kuambatanisha na ushahidi.
(tatizo la hapa kenyaforum hatu-comment kisiasa almrad tu,lazima uweke ushahidi kidogo wa either link au picha/screenshot).

ni wapi ulitoa huo mtizamo.Je kuna tafiti yoyote iliyofanywa na taasisi inayotambulika ikadai kwamba mji wenye tenant wa kudumu ndio mji ulioendelea sana?.ushahidi ktk hili please.

kwa hiyo nairobi imeendelea kuzidi dar kwasababu watu wake wengi ni tenants?.ushahidi please.

ni sababu gani iliyosababisha nairobi yenye house tenant wengi kushinda dar ikawa na slums kubwa east africa na africa kwa ujumla.majibu na ushahidi tafadhali

kwa hiyo kwa mtazamo wako wewe,kuishi kwenye nyumba ya kupanga ni fahari na nafuu zaidi kuliko kuishi kwenye nyumba yako binafsi?.

tuanzie kwanza hapo halafu tuendelee na mjadala.

NB.
wakati unatafakari maswali yangu,naombe usome/utazame kwa umakini hii screenshot hapa chini.
90b165275d9a420b574b7aaeb8d4734f.jpg
safi asipokuwa sawa tuna mchalenj aisee naomba kesho tuanze naye......kwa evidence......su vip
 
safi asipokuwa sawa tuna mchalenj aisee naomba kesho tuanze naye......kwa evidence......su vip
huyo dogo nimegundua ni kilaza.hili jukwaa hatoliweza.si unaona majibu yake.hivi mtu kama huyo ataweza kwenda sambamba na hoja za mtu kama Edward Wanjala (mtu mwenye njaa)?.

si ataishia tu kukasirika na kuanza kurusha matusi.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya homeless na tenancy life. Pia tofautisha kuishi kwenye slums na kuishi kwenye nyumba yako. Mara nyingi slums sio nyumba za kudumu, so usizihesabu kama ni nyumba. wanaoishi kwenye slums hawatakiwi kuitwa tenants au landlords. Bila shaka nimejibu maswali yako
safi sema kuwa makini kwa kila unachochangia na unachojibu.......hii ni zaidi ya battle kama haupaheshimu kwenu basi jua hata mke wako ama mchumba uliyenaye utagongewa sababu tu yakutotengeneza heshima na misingi.......ukitaka upagawe zaidi kupitia picha kwa nairobi utapagawa kwani hawa wakenya ni wanatumia nguvu kubwa sana kuipromote city hivyo huwa wanapicha nyingi sana za viwsngo na editef tofauti na sisi.....hatunaga hizo timd ila maisha halisi ya wakenya nenda ukakae hata mwezi na utembee ndiyo utayajua kiuhalisia
 
at least i have noticed the lower IQ of a person i was talking to.
karibu tena kijana,hii ndio kenyaforum. vilaza hamtakiwi huku.rudi jukwaa la mahusiano.

Pole sana. Hoja nimeweka mezani badala ya kujibu hoja ukauliza maswali. Ok, nikayajibu lakini hukuridhika na majibu. Inaonekana huna hoja ya maana zaidi ya kupost picha tu humu. unadhani kupast picha ndio kujenga hoja zako. Hoja haijengwie kwa picha tu, inajengwa kwa kutetea hizo picha. inakuwaje wenzako ambao wanaleta hoja bila picha? Jifunze kufikira
 
safi sema kuwa makini kwa kila unachochangia na unachojibu.......hii ni zaidi ya battle kama haupaheshimu kwenu basi jua hata mke wako ama mchumba uliyenaye utagongewa sababu tu yakutotengeneza heshima na misingi.......ukitaka upagawe zaidi kupitia picha kwa nairobi utapagawa kwani hawa wakenya ni wanatumia nguvu kubwa sana kuipromote city hivyo huwa wanapicha nyingi sana za viwsngo na editef tofauti na sisi.....hatunaga hizo timd ila maisha halisi ya wakenya nenda ukakae hata mwezi na utembee ndiyo utayajua kiuhalisia
Aisee Poleni sana. mnataka ushindi kwa kutumia ushahidi wa picha peke yake? tena za majumba tu? mmepotea
 
Pole sana. Hoja nimeweka mezani badala ya kujibu hoja ukauliza maswali. Ok, nikayajibu lakini hukuridhika na majibu. Inaonekana huna hoja ya maana zaidi ya kupost picha tu humu. unadhani kupast picha ndio kujenga hoja zako. Hoja haijengwie kwa picha tu, inajengwa kwa kutetea hizo picha. inakuwaje wenzako ambao wanaleta hoja bila picha? Jifunze kufikira
sawa embu weka hoja yako mezani tuisome ili tuelimike.inawezekana una hoja nzuri.

iweke katika maandishi ili tuisome,tuitafakai na mwisho wa siku tui-challenge.
 
huyo dogo nimegundua ni kilaza.hili jukwaa hatoliweza.si unaona majibu yake.hivi mtu kama huyo ataweza kwenda sambamba na hoja za mtu kama Edward Wanjala (mtu mwenye njaa)?.

si ataishia tu kukasirika na kuanza kurusha matusi.
huyo ......tunacheza naye hivi hivi sikakurupuka....bgoja aone....maisha jinsi yalivyo .......ni mshamba wa hizi forum na ni bogaz
 
Pole sana. Hoja nimeweka mezani badala ya kujibu hoja ukauliza maswali. Ok, nikayajibu lakini hukuridhika na majibu. Inaonekana huna hoja ya maana zaidi ya kupost picha tu humu. unadhani kupast picha ndio kujenga hoja zako. Hoja haijengwie kwa picha tu, inajengwa kwa kutetea hizo picha. inakuwaje wenzako ambao wanaleta hoja bila picha? Jifunze kufikira
Naona utakua umepotea njia huku kama huwezi kuchangia si uwe msomaji kama mie tu, mimi toka siku ya kwanza nafutilia huu mtifuano.
 
sawa embu weka hoja yako mezani tuisome ili tuelimike.inawezekana una hoja nzuri.

iweke katika maandishi ili tuisome,tuitafakai na mwisho wa siku tui-challenge.

Hoja alishatoa mleta mada -rejea post namba 1.
Badala ya kubase kwenye kigezo kimoja tu, angalia vigezo vyote vilivyoainishwa. uvichambue na kulinganisha sememu zote mbili kable ya kutoa uamuzi. Ubora, ukubwa, uzuri au uimara au umaarufu wa mji haupimwi kwa kigezo kimoja tu.
 
Pole sana. Hoja nimeweka mezani badala ya kujibu hoja ukauliza maswali. Ok, nikayajibu lakini hukuridhika na majibu. Inaonekana huna hoja ya maana zaidi ya kupost picha tu humu. unadhani kupast picha ndio kujenga hoja zako. Hoja haijengwie kwa picha tu, inajengwa kwa kutetea hizo picha. inakuwaje wenzako ambao wanaleta hoja bila picha? Jifunze kufikira
tatizo haujielewi........vile vile haujui thamani yako.......yawezekana hata katika familia yako hauna thamani umgekuwa ni muelewa ungeuliza what happening......na ungeelrkezwa.......una roho nyepesi sana .....
 
Back
Top Bottom