Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sawa embu weka hoja yako mezani tuisome ili tuelimike.inawezekana una hoja nzuri.

iweke katika maandishi ili tuisome,tuitafakai na mwisho wa siku tui-challenge.
safi sana maana ....yeye si ndiyo anajikubali yupo bora aweke sasa ......hoja hapa ..
 
Naona utakua umepotea njia huku kama huwezi kuchangia si uwe msomaji kama mie tu, mimi toka siku ya kwanza nafutilia huu mtifuano.
anatafuta boyfriend (rafiki wa kiume) wa kikenya.mwacheni ajaribu bahati yake anaweza akabahatika kupata mmoja.
 
Naona utakua umepotea njia huku kama huwezi kuchangia si uwe msomaji kama mie tu, mimi toka siku ya kwanza nafutilia huu mtifuano.
Huzuiwi kuchangia -kama tu ulivyochangia hapa. Nimeufuatilia huu uzi tangu ulipoanzishwa. Twendeni kwa hoja tu, sio kulazimisha unachoamini wewe ndio na wenzako waamini. wewe ni Mtz naona
 
Aisee Poleni sana. mnataka ushindi kwa kutumia ushahidi wa picha peke yake? tena za majumba tu? mmepotea
nimegundua wew ni .......boya sana na inelekea elimu hauna kabisa.....na hata maarifa ya mtaani umekosa ....hivi unajua chanzo cha hii thread ni nini....na umeisoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho na ulichoelewa ni nin?.. jiongeze aiseee inaelekea hata demu wako ama mke wako unagongewa kila siku
 
nimegundua wew ni .......boya sana na inelekea elimu hauna kabisa.....na hata maarifa ya mtaani umekosa ....hivi unajua chanzo cha hii thread ni nini....na umeisoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho na ulichoelewa ni nin?.. jiongeze aiseee inaelekea hata demu wako ama mke wako unagongewa kila siku
 
Where is economy my friend Kenyans
FB_IMG_1496097070626.jpg
 
Hoja alishatoa mleta mada -rejea post namba 1.
Badala ya kubase kwenye kigezo kimoja tu, angalia vigezo vyote vilivyoainishwa. uvichambue na kulinganisha sememu zote mbili kable ya kutoa uamuzi. Ubora, ukubwa, uzuri au uimara au umaarufu wa mji haupimwi kwa kigezo kimoja tu.
dragon huku hapakufai kuwa mpole uelewa wako ni mdogo sana hebu jitazame kuna wabongo wowote waliokinzana humu tokea thread ilipoanza kama si wewe pekee ....bado haujishtukii tu
..hebu pita kimyackimya...
 
  • Thanks
Reactions: nao
Dragoon i have screen-captured your comment as a reference for future conversion. in kenyaforum we always conduct our argument via references.

8e69bd035d735bd9da5d9ffb85f4dc31.jpg
 
Huzuiwi kuchangia -kama tu ulivyochangia hapa. Nimeufuatilia huu uzi tangu ulipoanzishwa. Twendeni kwa hoja tu, sio kulazimisha unachoamini wewe ndio na wenzako waamini. wewe ni Mtz naona
hakuna aliyelazimisha anachoamini na kama umeufuatilia........tokea mwanzo basi wewe ni kilaza na .....hauna uwezo wa kufikiri na kujiongeza akili yako ni mgando
 
dragon huku hapakufai kuwa mpole uelewa wako ni mdogo sana hebu jitazame kuna wabongo wowote waliokinzana humu tokea thread ilipoanza kama si wewe pekee ....bado haujishtukii tu
..hebu pita kimyackimya...

hakuna aliyelazimisha anachoamini na kama umeufuatilia........tokea mwanzo basi wewe ni kilaza na .....hauna uwezo wa kufikiri na kujiongeza akili yako ni mgando
 
hakuna aliyelazimisha anachoamini na kama umeufuatilia........tokea mwanzo basi wewe ni kilaza na .....hauna uwezo wa kufikiri na kujiongeza akili yako ni mgando

laaaaaa! Kweli ukikimbizana na wajinga wote mtaonekana wajinga tu. Hamtaki kupingwa kwa hoja? maana ya uzi ni nini kama kila mtu atakubaliana na chochote mnachosema?
 
Dragoon i have screen-captured your comment as a reference for future conversion. in kenyaforum we always conduct our argument via references.

8e69bd035d735bd9da5d9ffb85f4dc31.jpg

very useful. Vyema sana. Kama hujaona reference ya hiyo statement basi chukua hiyo statement yangu kama reference yako, itakusaidia
 
laaaaaa! Kweli ukikimbizana na wajinga wote mtaonekana wajinga tu. Hamtaki kupingwa kwa hoja? maana ya uzi ni nini kama kila mtu atakubaliana na chochote mnachosema?
ndiyo maana tunakuambia hivi wew umekurupuka na haujaelewa maana ya chanzo cha huu uzi..... kuwa mpole we pita tu .....maana si muelewa na si muulizaji unachojua ni kuchsngia tu ila mantiki haujui..
 
  • Thanks
Reactions: nao
nani kakwambia mimi ni mbongo?
kwa hiyo mnapelekeshana tu kwa vile mnatokea taifa moja?
let's assume you are neither a kenyan nor a tanzanian, just a poor and stupid migrant from some country in central africa trying his luck in search of a better life in nairobi.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom