mbona zote zinafanana buda.ina maana wote walikuwa na ramani moja?.Nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.
asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.
that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sheria ya ardhi Tanzania inaruhusu watu wote kupata ardhi ,serekali inapima ardhi na Ku wauzia wananchi wake na pia unaweza kununua kwa watu kwa bei ndogo lakini mwisho wa siku ardhi yote ni Mali ya serekali wakiona una ardhi kubwa na wanataka wananchi wengi waipate wanaichukua na kugaiwa kwa wananchiplot ni how much within Dar es salaam?
plots ndani ya big city ni very expensive ndio maana Dar si city juu land ni cheap kama NAROK or NANYUKI....hizo private owned houses nI mob sana within Nairobi metropolis
Sheria ya ardhi Tanzania inaruhusu watu wote kupata ardhi ,serekali inapima ardhi na Ku wauzia wananchi wake na pia unaweza kununua kwa watu kwa bei ndogo lakini mwisho wa siku ardhi yote ni Mali ya serekali wakiona una ardhi kubwa na wanataka wananchi wengi waipate wanaichukua na kugaiwa kwa wananchi
Ni tofauti na Kenya mtu mmoja anamiliki nusu ya Nairobi wengine mnaishia kuishi kibera sehemu nguruwe akikaa anakufa mnamuacha MTU mmoja anamiliki nusu ya Nairobi
are these luxury mansions owned by common nairobians?. SMH.please guys we are not kids.stop this childish tactics.Nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wacha kulia, you said Kenyans don't own homes.are these luxury mansions owned by common nairobians?. SMH.please guys we are not kids.stop this childish tactics.