Simply world-class 👌 👌Mombasa portView attachment 1351651
Dar re salaam fishing village na zile nyumba zao tatu in the background
View attachment 1351655
Simply world-class 👌 👌Mombasa portView attachment 1351651
Dar re salaam fishing village na zile nyumba zao tatu in the background
View attachment 1351655
Wasukuma na nyumba za msonge  😂😂😂 wapi na wapi.
You just edit ur pics before posting them here.
Huwezi ona huo uchafu?What's the matter with this picture?
Alaa, sikujua. And there's a time when Munga of Equity was one of the biggest shareholders at BRITAM. Na bado he owns a couple of empty plots hapo Upperhill. I can bet he's one of the reasons structures like Pinnacle cannot be built within this decade.
Tower tatu na stadium. Sijui tano zimetoka wapi?
Unafikiri picha ya shinyanga ni moja Bro? Ukileta pande ile nzuri nami nakuletea ile hutaki kuweka. Weka hata nzuri ya Dar nikuletee ile pande mbovu ya Dar 😁You just edit ur pics before posting them here.
Shinyanga wanaishi maasai?
Nimemuuliza hapo juu 😂😂😂Shinyanga wanaishi maasai?
Hiyo CBD nikama Ngara ama Parklands mse. Here's the difference between a city a fishing villageWanafkiri CBD ni zile tower tano tu🤣🤣👇👇View attachment 1351440View attachment 1351441
Mtapata tabu sana hakuna Shinyanga mahala wanajenga nyumba za asili za namna hiyo 😂😁😁climate yenyewe tu sio hiyo kwa walio wahi fika mkoa wa Shinyanga comment please!
Unafikiri picha ya shinyanga ni moja Bro? Ukileta pande ile nzuri nami nakuletea ile hutaki kuweka. Weka hata nzuri ya Dar nikuletee ile pande mbovu ya Dar![]()


Tuwaache wachapwe viboko tu.......Ni wabishi wa kishamba sana,
wanajifanya wajuaji kumbe hamna kitu,
Hawa kama huwajui watakusumbua sana,
Uzuri tunawafahamu nje ndani.
Na ndio dawa yao hadi waache Shobo.
😅😅😅😅 Hajui kama Shinyanga kiasili hujenga kwa tofali za kuchomaNimemuuliza hapo juu 😂😂😂
Uwezo wao wa akili kufikiri umeishia kwenye zile suit zao ovesize na tai ya pink...Acha kudanganya watu wewe, Kigezo kinachotumika kuweka nchi katika makundi ya incomes ni kimoja pekee, nacho ni kipato cha wananchi, ambacho hupatikana kwa kuchukua GDP ya nchi kwa kuigawanya kwa idadi ya wananchi tu.
Nitakupa mfano wa nchi ya Guinea ya Ikweta yenye utajiri mkubwa sana wa mafuta, hii nchi inakaribia kuingia ktk kundi la "Upper middle Income", kwasaba ukichukua GDP na kugawanya kwa idadi ya watu wao ni kubwa zaidi ya South Africa, lakini 60% ya Population huishi chini ya $1 kwa Siku, katika kipengele cha "Develepment Index", hii nchi is among the lowest in the Continent". Wakenya hamjui lolote zaidi ya kupiga domo, uwezo wenu wa akili ni mdogo sana.