The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Unaona you agree that Dar and Mombasa have a lot in common 😂 😂
Yote ni yetu bro. Hakuna aliye kataa
Hapo Tanzania and unataka kuaminosha watu huko ni kwa LDC wenzenu Burundi?Wasukuma na nyumba za msonge  😂😂😂 wapi na wapi.
Siyo apaki vilago yaani ,,angeshachezea kichapo hapo hapo wangemchakaza dk zero tuKama ni bongo tayari huyo mchina angekuwa ashaambiwa apaki vilago vyake asionekane tena within 24hr![]()
VIP wewe slave ulichapwa viboko vingapi....na mtawala wenu wakichina?Tallest buildings in East and Central Africa (kwa wssioelewa lugha UA Malkia...Jumba ndefu zaidi ukanda huu was mashariki ya Kati Africa) GTC towers Westlands.View attachment 1351682
I was talking about indicators used in grouping countries as LDCs while you have decided to talk about something totally different which is per capita income of a country. Everything you've said about per capita income is 100% true only that you failed to realize that per capita income is just one of the indicators used by UN to group countries as it falls under socioeconomic development.Acha kudanganya watu wewe, Kigezo kinachotumika kuweka nchi katika makundi ya incomes ni kimoja pekee, nacho ni kipato cha wananchi, ambacho hupatikana kwa kuchukua GDP ya nchi kwa kuigawanya kwa idadi ya wananchi tu.
Nitakupa mfano wa nchi ya Guinea ya Ikweta yenye utajiri mkubwa sana wa mafuta, hii nchi inakaribia kuingia ktk kundi la "Upper middle Income", kwasaba ukichukua GDP na kugawanya kwa idadi ya watu wao ni kubwa zaidi ya South Africa, lakini 60% ya Population huishi chini ya $1 kwa Siku, katika kipengele cha "Develepment Index", hii nchi is among the lowest in the Continent". Wakenya hamjui lolote zaidi ya kupiga domo, uwezo wenu wa akili ni mdogo sana.
Ndio madhara ya kuokota okota picha ovyo 😂😂😂😅😅😅😅 Hajui kama Shinyanga kiasili hujenga kwa tofali za kuchoma
Wasukuma na nyumba za msonge wapi na wapi 😂😂😂 usi change goal.Hapo Tanzania and unataka kuaminosha watu huko ni kwa LDC wenzenu Burundi?
Ndio dawa yao hadi waache Shobo 😂😂😂
Viboko mbili tu.VIP wewe slave ulichapwa viboko vingapi....na mtawala wenu wakichina?
Sent using Jamii Forums mobile app