Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Part of mwanza port
Screenshot_20200122-003010_YouTube.jpg
 
That's a typical bongolala talking. Nyinyi sijui shule zenu mnafundishwa nini. There are parameters used by UN in grouping countries and key among them include quality of life, people living below poverty line, access to quality health services, per capita income etc etc. LDCs are countries that exhibit the lowest indicators of socioeconomic development and have the lowest Human Development Index. It's not about Google earth images bongolala. As of now, you are still an LDC until you improve on those sectors
Acha kudanganya watu wewe, Kigezo kinachotumika kuweka nchi katika makundi ya incomes ni kimoja pekee, nacho ni kipato cha wananchi, ambacho hupatikana kwa kuchukua GDP ya nchi kwa kuigawanya kwa idadi ya wananchi tu.

Nitakupa mfano wa nchi ya Guinea ya Ikweta yenye utajiri mkubwa sana wa mafuta, hii nchi inakaribia kuingia ktk kundi la "Upper middle Income", kwasaba ukichukua GDP na kugawanya kwa idadi ya watu wao ni kubwa zaidi ya South Africa, lakini 60% ya Population huishi chini ya $1 kwa Siku, katika kipengele cha "Develepment Index", hii nchi is among the lowest in the Continent". Wakenya hamjui lolote zaidi ya kupiga domo, uwezo wenu wa akili ni mdogo sana.
 
Back
Top Bottom