Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
tatizo baadhi ya vijana kama nyie wanairobi mnadharau,kebehi pia mwajifanya wajuwaji......kwa sababu sisi ni washamba sana, hujajua?
hizi city zimezidiana kuna vitu nairobi vipo dar hakuna na kuna vitu dar vipo nairobi hakuna....city haziwez fanana hata siku moja kwani zikifanana haijengi maana haswa kiushindani......
mnajifanya nairobi ndyo kila kitu wakati inamapungufu tena kibao barabara ndyo kidogo zimebeba jiji la nairobi