Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapuuzi, huu Uzi sasa watauona mchungu, kesho najaza servers za JF,

Asante Kadoda01 for this.

Safari hii hawachomoki.
Mwanaume mzima unajivunia kupanga,
Halafu bora upange walau nyumba ya Kueleweka, MTU anapanga bweni halafu anasimama na kujinasibu mbele za Wanaume.. Dadadeki.
 
Wapuuzi, huu Uzi sasa watauona mchungu, kesho najaza servers za JF,

Asante Kadoda01 for this.

Safari hii hawachomoki.
Mwanaume mzima unajivunia kupanga,
Halafu bora upange walau nyumba ya Kueleweka, MTU anapanga bweni halafu anasimama na kujinasibu mbele za Wanaume.. Dadadeki.

Sasa MTU kula tu shida
Ataweza kujenga!!
Dar nikubwa sana
Na ukubwa huu ni watu binfsi tena wakawaida kumiliki nyumba zao
Nairobi nyumba nyingi zinamilikiwa na Wanasiasa mafisadi hasa Kikuyu hili ni janga Kenya!!
Kupata Ardhi Utaimba
Utaishia Kibera Vinyumba vya Kuzimu hata Mwenyezi mungu kavilaani kwa uchafu
 
Hata vijijini tumejenga,
And in fact ukiona mtu amejenga Dar basi more likely alishajenga kwanza kijijini,.
Hatupo mamburula kama nyie mnavaa masuti makubwa, mnachomeka na jua kali halafu mnaongea kingereza huku mnaishi kibera au mabwenini.
Shenzi kabisa.

Hahaha Kama una Rafiki Kenya tua Nairobi
Hahaha story zote mtamalizia Hotelini
Huta msikia anakuambia twende Ukapaone Nyumbani!

Mtaani full suti ikifika jioni
Anakuwa Nguruwe wa kibera!
 
kigamboni
06c9a6b805bb8f6820482aa0a7d21a88.jpg



mikocheni aerial viw
f181e0fbe7477ce390da6f461cafda84.jpg



mbezi aeril view
caf54ec145a6e194b34527e2248d1cf3.jpg
 
Denial. ..Denial..Denial. ...
excuses. ..excuses. ...excuses
Kwa real estate hata Mombasa is way much ahead. ....there are millions of such ordinary houses mnapost hapa in Kenyan villages. ...from embu to karachuonyo to narok to marsabit................tembea Kenya uone how middle income countries look like
ndyo muonyeshe huo umiddle income sasa.....tunazihiitaji houses bro unaongea sana kama mwanahawa
 
Niliwahi kumwambia mkenya mmoja Mombassa
Mtanzania Anamaisha bora kuliko ninyi
Nimepita vijiji vingi kenya kiukweli wana danganywa wapo juu hakuna lolote
Uchumi umeshikwa na Wanasiasa mafisadi
Mkenya wakawaida ni funza tupu
 
Itakuwa na ww unaishi kwenye dormitory ,Tanzania heshima ya mwanaume kujenga nyumba yake binafsi sio kupanga kwenye dormitory kama izo za Nairobi apo itakuwa kwa Tanzania unaji abisha uanaume wako
waambie hao .....kuanzia bibi yeye mpaka vitukuu wote wakikenya hakuna aliyemiliki nyumba....na bado ukoo wao unakua wanazidiwa hadi nawalio vijijini hafu wanakuja vifua mbele nairobi nairobi nyumba zenu zipo wapi
 
Niliwahi kumwambia mkenya mmoja Mombassa
Mtanzania Anamaisha bora kuliko ninyi
Nimepita vijiji vingi kenya kiukweli wana danganywa wapo juu hakuna lolote
Uchumi umeshikwa na Wanasiasa mafisadi
Mkenya wakawaida ni funza tupu
ukweli kabisa sasa enda ulale ukifurahia na ukiamini ivo...hongera
 
kenyans i have already changed the momentum of the thread,instead of reposting photos of beautiful
apartments,story buildings, highways, flyovers,malls etc,it's now a high time we show our viewers and readers private houses owned by common citizens in dar and nairobi.

show us sample photos of private houses owned by common nairobians in nairobi,i insist "IN NAIROBI". not ushagoo kwenyu or mashinani.
 
Itakuwa na ww unaishi kwenye dormitory ,Tanzania heshima ya mwanaume kujenga nyumba yake binafsi sio kupanga kwenye dormitory kama izo za Nairobi apo itakuwa kwa Tanzania unaji abisha uanaume wako
nonsense. .....hata flats na apartments hujui ni nini
 
Boss leta nyumba zinazomilikiwa na Wakazi wa kawaida wa Nairobi,
Forget hostels.
kweli walete hao......maana wanakuja vifua wazi tunawapiga za chembe wakiinama bakati za kidevu.........wakenya chalii
 
kabisa...hao watu walitu rank ivo walikuwa wajinga, they didn't have that in mind,they just woke up and said lets say kenya is a middle income economy
Hehehe. I like how you are handling them.In Kenya we just work hard and play hard.....tukishawalemea wanakuanga personal kama kawaida
 
Back
Top Bottom