Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
bee9acb250cfa23a60822779b2f29490.jpg
54d832aeb7bf73ffed634614c8c6ecba.jpg
1feec153005389ab9252aceeb89309d6.jpg
b08952009700b714a8ed296aa5e8bb7e.jpg
10c995eba990cb64d3577d5116fd665f.jpg
37030f9b0e334cbf3d68798396dea1e6.jpg
4e2dec73a02488d9abc9ff044f6be6f9.jpg
b091564f6ff28bdad3daadc998a27a53.jpg
6218a4aeda3da2c0a06fb38b0d536d57.jpg
7d684817e36d23a14e6a4ad4e5d0e166.jpg
fef662218fc0ed017999b3c87fb716c3.jpg
008c92be0d478049d990ab96e5213d82.jpg
222d4384fbeaa0b3233578db5ec0be01.jpg
34c96acf61a3fad2130755edca1ac336.jpg
b8f837ef90f4d9c80b10c366b716b4d0.jpg
d71d1e196eb715c41210842d0138530a.jpg
 
Tanzanians walipata kichapo cha mbwa kwa real estate hehehe. Sasa ni kujitetea na random houses. ...hizo ndio runda ya Tanzania. Ei...hawa ndugu zetu wa LDC wana issues kweli.....reality ni that country bado iko chini sana kimaendeleo. Building a city needs good plan and hard work.So no excuses please Mr kadoda.....hata Kampala is better planned than your Dar. What a shame!
 
kutoana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
21929c100bdf69950b87de17b5063910.jpg
328546a563da46dd81e600a479bfc2da.jpg
a4ac81b8433c5d34331ff037879e9483.jpg
59ae4e0cb1a45884ec4778c823f9507c.jpg
bec416e0379597c31bcd5108979e8b48.jpg
468e107a72c98e954bdcfda9b1b6decb.jpg
5dc9492185f4e6f880afa3148745d9d8.jpg
529e1c4c549f811bb59ef56c1cdefeec.jpg
557efa5fedf67c53c6aa344c4375c5ca.jpg
8944a9c6e6c9487d37b8312b04960cd2.jpg
61b30d08cfa291550f3e4386940bf96c.jpg

more photos are coming. stay tuned.
Na hizi ndio wakenya huita informal settlements sababu ukipita kwenye ndege juu zinaonekana hazifanani kama mabweni ya Nairobi..
And in fact wabongo ndio tunajua utamu wa Kujenga Nyumba yako (A house of your dream)
Vijana Tujenge, tujenge aisee Maisha ya Mabwenini tuwaachie wakenya.
 
hapa hakuna cha devil wala leteni hapa nyumba za raia halisi wa kikenya.....wanapoishi kwa hapo nairobi siyo mnaleta midomo tu kutwa kuleta apartment a.k.a hostel nyumba nyingine inamaana hamnaga hapo nairobi
 
Na hizi ndio wakenya huita informal settlements sababu ukipita kwenye ndege juu zinaonekana hazifanani kama mabweni ya Nairobi..
And in fact wabongo ndio tunajua utamu wa Kujenga Nyumba yako (A house of your dream)
Vijana Tujenge, tujenge aisee Maisha ya Mabwenini tuwaachie wakenya.
kweli kabisa yaani mtu elimu ya secondary,chuo nipo bwenini pia hata napoishi kufanane na hostel si upuuzi huo........yaani hao wakija huku ni wahindi wakikenya a.k.a wakimbizi maana wapo kwao lakini hawana makazi ama ardhi
 
Denial. ..Denial..Denial. ...
excuses. ..excuses. ...excuses
Kwa real estate hata Mombasa is way much ahead. ....there are millions of such ordinary houses mnapost hapa in Kenyan villages. ...from embu to karachuonyo to narok to marsabit................tembea Kenya uone how middle income countries look like
 
Tanzanians walipata kichapo cha mbwa kwa real estate hehehe. Sasa ni kujitetea na random houses. ...hizo ndio runda ya Tanzania. Ei...hawa ndugu zetu wa LDC wana issues kweli.....reality ni that country bado iko chini sana kimaendeleo. Building a city needs good plan and hard work.So no excuses please Mr kadoda.....hata Kampala is better planned than your Dar. What a shame!
Itakuwa na ww unaishi kwenye dormitory ,Tanzania heshima ya mwanaume kujenga nyumba yake binafsi sio kupanga kwenye dormitory kama izo za Nairobi apo itakuwa kwa Tanzania unaji abisha uanaume wako
 
hawa mim nawaambia leo tunataka watuonyeshe dizain ya mitaa kama yetu kwa wanaomiliki raia wakikenya nyumba moja moja ili tuwacheke vizuri maana tokea thread nianze kuifuatilia sijawah ona zaidi naziona apartment zao tu ama hostel ...leo tuwakabe tunataka street lyk masaki,oysterbay,mbezi,mbagala,kigogo.......maana hawazilet hapa

au kibera ndyo wanapomiliki nyumva ya mkoja mmoja

Utawaonea bure
 
Tanzanians walipata kichapo cha mbwa kwa real estate hehehe. Sasa ni kujitetea na random houses. ...hizo ndio runda ya Tanzania. Ei...hawa ndugu zetu wa LDC wana issues kweli.....reality ni that country bado iko chini sana kimaendeleo. Building a city needs good plan and hard work.So no excuses please Mr kadoda.....hata Kampala is better planned than your Dar. What a shame!
Leta picha bwana. Mbona wagumu kuelewa nyie??
We need houses owned by Local Nairobians

Forget those hostels/Dormitories.
Kindly bring photos in here.
 
Na hizi ndio wakenya huita informal settlements sababu ukipita kwenye ndege juu zinaonekana hazifanani kama mabweni ya Nairobi..
And in fact wabongo ndio tunajua utamu wa Kujenga Nyumba yako (A house of your dream)
Vijana Tujenge, tujenge aisee Maisha ya Mabwenini tuwaachie wakenya.
 
kweli kabisa yaani mtu elimu ya secondary,chuo nipo bwenini pia hata napoishi kufanane na hostel si upuuzi huo........yaani hao wakija huku ni wahindi wakikenya a.k.a wakimbizi maana wapo kwao lakini hawana makazi ama ardhi
Wapuuzi, huu Uzi sasa watauona mchungu, kesho najaza servers za JF,

Asante Kadoda11 for this.

Safari hii hawachomoki.
Mwanaume mzima unajivunia kupanga,
Halafu bora upange walau nyumba ya Kueleweka, MTU anapanga bweni halafu anasimama na kujinasibu mbele za Wanaume.. Dadadeki.
 
Tanzanians walipata kichapo cha mbwa kwa real estate hehehe. Sasa ni kujitetea na random houses. ...hizo ndio runda ya Tanzania. Ei...hawa ndugu zetu wa LDC wana issues kweli.....reality ni that country bado iko chini sana kimaendeleo. Building a city needs good plan and hard work.So no excuses please Mr kadoda.....hata Kampala is better planned than your Dar. What a shame!

punguza povu...hayo ni maneno ya mkoasaji.embu rudia tena kutazama hizi picha hapa chini uzidi kutoa povu la kisirani.

kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
bee9acb250cfa23a60822779b2f29490.jpg
54d832aeb7bf73ffed634614c8c6ecba.jpg
1feec153005389ab9252aceeb89309d6.jpg
b08952009700b714a8ed296aa5e8bb7e.jpg
10c995eba990cb64d3577d5116fd665f.jpg
37030f9b0e334cbf3d68798396dea1e6.jpg
4e2dec73a02488d9abc9ff044f6be6f9.jpg
b091564f6ff28bdad3daadc998a27a53.jpg
6218a4aeda3da2c0a06fb38b0d536d57.jpg
7d684817e36d23a14e6a4ad4e5d0e166.jpg
fef662218fc0ed017999b3c87fb716c3.jpg
008c92be0d478049d990ab96e5213d82.jpg
222d4384fbeaa0b3233578db5ec0be01.jpg
34c96acf61a3fad2130755edca1ac336.jpg
b8f837ef90f4d9c80b10c366b716b4d0.jpg
d71d1e196eb715c41210842d0138530a.jpg
 
Denial. ..Denial..Denial. ...
excuses. ..excuses. ...excuses
Kwa real estate hata Mombasa is way much ahead. ....there are millions of such ordinary houses mnapost hapa in Kenyan villages. ...from embu to karachuonyo to narok to marsabit................tembea Kenya uone how middle income countries look like
Hata vijijini tumejenga,
And in fact ukiona mtu amejenga Dar basi more likely alishajenga kwanza kijijini,.
Hatupo mamburula kama nyie mnavaa masuti makubwa, mnachomeka na jua kali halafu mnaongea kingereza huku mnaishi kibera au mabwenini.
Shenzi kabisa.
 
Back
Top Bottom