ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mzee umepanic kunywa chang'aa kidogo uwe sawa
kitochi
[/QUOTE]
😀😀😀😀😀
So Obama alipokuja Kenya alikuja kutoa msaada??? Hvi wewe mpaka leo hii hua unakua mjinga kias hchi inamaana unaumia sana kuskia Tanzania inajengw reli kwa pesa zake😀😀😀😀 dr ndii sialiwaambia munajifanya kusahau Tanzania sio nchi ya nyinyi kushindana nayo mutapasukaSo unataka niamini picha ya billboard but not what I read from different sources? And what did Turkey's president come to do in Tanzania at that time? View attachment 1320443
Lini zinakuja 😀😀😀😀 kwani mumesahau pinnacle na montave😀😀😀😀😀
For sure hii aerial view inatia kichefuchefu but ndio sawa maana Tzn ishu ya mipango miji inaonekana kuishinda serikali.Iagine huu ndio mji kuu kioo cha nchi huko kwingine kukoje?This is the mother of all unplanned cities in the entire universe.....no roads no piped water no sewerage system village like behaviours....name itView attachment 1312989
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kubaliana na aina ya miradi ya serikali ya ccm maana mingi ni miradi ya show off na kujitutumua ambayo kimsingi itasababisha hali ya maisha ya watzn kuwa ngumu kuliko kuwasaidiaMimi sio shabiki wa CCM. Kila mtu ana preferences zake. Ninapenda juhudi za Rais Magufuli lakini haimaanishi kuwa naipenda ccm. Hiyo ideology uliyonayo kichwani ni ya kipuuzi na washenzi kama wewe ambao mnashindwa kuangalia mapungufu ya siasa zenu za ukikuyu na ujaluo halafu mnaona weakness kwenye nchi za wengine mkafie kuzimu. Fata mambo yanayokuhusu.
Taarifa kama hizi watzn wa humu hawawezi kukubali ila uwaambie wanaongoza kwa bus stage nzuri africa hapo utapata cheers.Naamini hata wengi wa maofisini hawajui cha kufanya hii ni kutokana na kuajiri watu kwa kujuana kuliko uwezo ndio maana ni mwendo wa ku mark time,kwa ukuaji wa idadi ya watu Tzn kasi ya maendeleo inatakiwa kuwa kubwa zaidi la sivyo tujiandae kuwa kama NigeriaHapo hakuna ubishi, kila mwaka linadhibitishwa na facts wazi. Last year kwa extreme poverty index report, wao wanavuta mkia EAC/SADC, 2019 imebainishwa over 50% ya watanzania are reeling in multidimensional poverty! Balaa! Numbers don't lie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaelewa kwanini nilipost hizo pic?Gorofa nne aisee hamchoki? Mkikaribia hapa ndio mnaeza ongea
View attachment 1321248
View attachment 1321249
View attachment 1321251
Hebu unisaidie official link ili umtetee mwenzio na nakwambia ukinipatia official link ya alichokisema huyo mm nafunga account jamii forum😀😀😀😀Taarifa kama hizi watzn wa humu hawawezi kukubali ila uwaambie wanaongoza kwa bus stage nzuri africa hapo utapata cheers.Naamini hata wengi wa maofisini hawajui cha kufanya hii ni kutokana na kuajiri watu kwa kujuana kuliko uwezo ndio maana ni mwendo wa ku mark time,kwa ukuaji wa idadi ya watu Tzn kasi ya maendeleo inatakiwa kuwa kubwa zaidi la sivyo tujiandae kuwa kama Nigeria