Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hilo ni janga kwa taifa, based on your population, national budget vis a vis annual revenue collection. Shida sio ukubwa ama udogo wa deni, ila swali ni can your economy sustain it?
USA has debt almost 100% ya GDP, Japan the same, lakini wako nafuu kutushinda tena kwa mbali, uchumi wao unaweza ku sustain the debt. Lakini nyie ni balaa zaidi kutushinda, ila hatuko sawa vile, but we can sustain, ila kwa machungu, nyie ndege zitashikwa ama msamehewe.,
Tanzania hujaiwekea percentage. Umesema ni 55 triliion. Ila ni 43% compare to kenya's 60%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hilo ni janga kwa taifa, based on your population, national budget vis a vis annual revenue collection. Shida sio ukubwa ama udogo wa deni, ila swali ni can your economy sustain it?
USA has debt almost 100% ya GDP, Japan the same, lakini wako nafuu kutushinda tena kwa mbali, uchumi wao unaweza ku sustain the debt. Lakini nyie ni balaa zaidi kutushinda, ila hatuko sawa vile, but we can sustain, ila kwa machungu, nyie ndege zitashikwa ama msamehewe.,
Tanzania hujaiwekea percentage. Umesema ni 55 triliion. Ila ni 43% compare to kenya's 60%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya zoom hio pic utuoneshe slum na ukinionesha slum ww ndio nitajua mzungu hana akili kuweka sattelite hewani😂😂😂😂😂
Satellites do not write names of places on images they capture. Their work is just to capture images. Anything written on an image captured by satellite is done so by people just like you and me. The International Space Station is located thousands of kilometers away from Dar and those who work there do not even know there exists a place called Mwananyamala in Dar or Umoja in Nairobi. The names of places found on Google earth are written by people like you and me, not google earth! Someone may decide to write that Donholm in Nairobi is a slum and everybody who views it will believe so. Google doesn't even have a satellite of its own!
 
"..Kenya still depends on imports.." hamtupii msaada kamwe, tunanunua na kufaidi wakulima wenyu na sana sana waganda, ila bahati mbaya ni middlemen wanafaidika zaidi., kaka jaribu kuelewa taarifa kwanza kabla ya kukurupuka. Kenya hatuwaombi msaada, wala hatuwategemei vile unafikiria wewe, tunaeza nunua hata kutoka Malawi, Zambia ama Brazil., kuna kipindi tulinunua kutoka Zambia CCM's machinations wakakataa isipitie Tanzania unakumbuka? ata uzi ulifunguliwa humu, ilikua wivu ama nini? Tanzania should take advantage ya Kenya's insufficiency food production, wale watanzania wajanja wanatengeneza mamilioni, kila siku utaona Lori za Tz zikimwaga mizigo ya mboga, vitunguu na matunda n.k. katika soko la Marikiti Nairobi, hawa ni watanzania binafsi wakujituma, wanatengeneza pesa kwa haraka because there goods are cheaper., wewe kazi nikushabikia brt, gorofa tatu za maana, flyover ya msaada kutoka kwa mjapan, ni kwa miaka minne pekee deni limepanda kwa kasi katika historia ya Tanzania, ambayo pia ni same huku, katika kipindi ya Uhuru deni limepanda kushinda wakati wa Kibaki na Moi combined!!
Sio mimi, msikilize face of corruption hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mandarin is a language spoken by the Chinese. is what you wrote connected in any way to the Chinese? Kujifanya unajua ila hakuna unachojua
Hujui kitu wewe unadhani kila kitu kipo kama we unavyofikiri
Una mambo mengi ya kujifunza dogo,bado kichwa chako ni cheupe
 
Hujui kitu wewe unadhani kila kitu kipo kama we unavyofikiri
Una mambo mengi ya kujifunza dogo,bado kichwa chako ni cheupe
Wewe ni shenzi type kabisa. Always forcing things wakati hujui lolote
PhotoGrid_1578228163220.jpg
 
"..Kenya still depends on imports.." hamtupii msaada kamwe, tunanunua na kufaidi wakulima wenyu na sana sana waganda, ila bahati mbaya ni middlemen wanafaidika zaidi., kaka jaribu kuelewa taarifa kwanza kabla ya kukurupuka. Kenya hatuwaombi msaada, wala hatuwategemei vile unafikiria wewe, tunaeza nunua hata kutoka Malawi, Zambia ama Brazil., kuna kipindi tulinunua kutoka Zambia CCM's machinations wakakataa isipitie Tanzania unakumbuka? ata uzi ulifunguliwa humu, ilikua wivu ama nini? Tanzania should take advantage ya Kenya's insufficiency food production, wale watanzania wajanja wanatengeneza mamilioni, kila siku utaona Lori za Tz zikimwaga mizigo ya mboga, vitunguu na matunda n.k. katika soko la Marikiti Nairobi, hawa ni watanzania binafsi wakujituma, wanatengeneza pesa kwa haraka because there goods are cheaper., wewe kazi nikushabikia brt, gorofa tatu za maana, flyover ya msaada kutoka kwa mjapan, ni kwa miaka minne pekee deni limepanda kwa kasi katika historia ya Tanzania, ambayo pia ni same huku, katika kipindi ya Uhuru deni limepanda kushinda wakati wa Kibaki na Moi combined!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba tupu,
Mnategemea import kwa kila kitu kwanini msilime 😂😂😂 tukigoma kuwauzia mahindi mnakuja kuomba muuziwe ndio mjue bila Tanzania mngeteseka Sana,
Naona umekomalia Sana deni ilihali deni lenu linapiga alarm huko bila kusahau uchumi unaosambaratika 😂😂😂
Yaani bila misaada ya chakula kutoka UAE, uchina, wamarekani hadi urusi hamuwezi kwenda chooni,
Failed state.
 
Eti Al-shabaab wameattack Americans? This is the funniest shit I've heard today. Wewe unajifanya unanikejeli mi hata sihisi effort za kejeli zako nahisi mavi yaliyojaa kichwani mwako tu sasa hivi
Na ukishasikia US-Kenya ujue hiyo camp ni ya chambo wa US
 
Hivyo ni vya kimaskini, hatuvitaki, Dar ni slum 90%!, 80% poverty, and Tanzania yote ni over 50% multidimensional poverty, hizo kaeni nazo! Mtakombolewa siku moja. Kenya will have what the developed world has, and even best in Africa. 2030 has been our vision, remaining 9 years, 11 months and 26 days! Tuone Kenya itakaa vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamzitaki😂😂🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa ilikuwaje hadi mkapaka lipsticks kwa road zenu???
 
Kampuni kibao za condom zipo huku,
Alafu aliyeshiba ndio anaweza kutumia condom,
Sasa mtu mwenye njaa kama wewe condom ya kazi gani.
😂🤣🤣😂😂😁😂🤣😂😁

Mtu mwenye njaa na condom..wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom