[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwana bwana bwana mtambo unachanja mbuga[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mandarin is a language spoken by the Chinese. is what you wrote connected in any way to the Chinese? Kujifanya unajua ila hakuna unachojuaKama huwezi nakupa ofa nikufunze Mandarin,ni lugha nzuri pia
Bureeee kabisa
Umetoka nje ya mada...santa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani kujua kuwa nairobi kuna vibanda nako kunahitaji shule????..
Kuwa serious basi hata kidogo!
Heheee!!huaga mnaumwa sana mkiskia wakenya wengi wanathamini kwao...We komora usitudanganye kama maprofesa na ma IT na wenye degree na madokta Nairobi wanaishi Kwa slum na kingereza chao itakuwa mashinani
Sent using Jamii Forums mobile app
Waarabu na wazungu wa youtube sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afazali aisee mana kitaa kingechafukwa
[emoji12][emoji12][emoji12] walizani mtu awezi shiba kwenye bakuliAfazali aisee mana kitaa kingechafukwa