Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Siku Tanzania inaomba msaada wa chakula na dunia ndo itakuwa inaisha.Weka proof Kenya ikiomba msaada? Nchi zinajipendekeza kutupa chakula kwa interests zao, tunanunua, kwenyu janga la njaa siku litatokea your economy haina muscles ya kuwakomboa, lazima WFP, UN, na Red Cross watawakomboa, mtapewa pesa ya kununua chakula, mko ovyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app