Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana ukitoa cbd place imebaki yote ni slums
c0e7715eea6b46550e884a6b4291dd29.jpg
hahaha nauliza hizo ni bweni za chuo au?????
 
where is a fight??? wanjala tatizo lake anaongea sana mpaka anaongea nonsense..anakwambia cars ambazo ziko naironi ni nyingi kuliko tanzania nzima, sasa huyo mtu mzima kweli?????😀😀😀😀😀😀😀
 
where is a fight??? wanjala tatizo lake anaongea sana mpaka anaongea nonsense..anakwambia cars ambazo ziko naironi ni nyingi kuliko tanzania nzima, sasa huyo mtu mzima kweli?????😀😀😀😀😀😀😀

Ichoboy!! Hahahaha! Wallaahu Rau’oofun Bil Ibaad!!!
Mungu ataweza kukuzidishia akili, uweze kuelewa mambo madogomadogo! La sivyo naona wazimu haikupeleki vyema!!

Usichukulie facts na mzaha!! Mbona mtu akikuwekea facts unaanza kujitia werevu akiwapa wengine majina!

Matusi yako hayawezi badili facts!!! Wewe ishi tu kule Zingida ukijifanya mjuzi, ukija hapa unakuta magwiji, huna hunani!!

Matusi huwa yanatambulisha umbumbu wa mtu! Kama wewe sasa!!

Tanzania is a LDC and you are proving the cause to be, having people with diluted doltish brains!!

Back to the thread, Picha za BRT zimeisha nikianza kusikia hizi longolongo!!! Wacha nije na mpya za Nairobi!!! Mtajiju!!!
 
Ichoboy!! Hahahaha! Wallaahu Rau’oofun Bil Ibaad!!!
Mungu ataweza kukuzidishia akili, uweze kuelewa mambo madogomadogo! La sivyo naona wazimu haikupeleki vyema!!

Usichukulie facts na mzaha!! Mbona mtu akikuwekea facts unaanza kujitia werevu akiwapa wengine majina!

Matusi yako hayawezi badili facts!!! Wewe ishi tu kule Zingida ukijifanya mjuzi, ukija hapa unakuta magwiji, huna hunani!!

Matusi huwa yanatambulisha umbumbu wa mtu! Kama wewe sasa!!

Tanzania is a LDC and you are proving the cause to be, having people with diluted doltish brains!!

Back to the thread, Picha za BRT zimeisha nikianza kusikia hizi longolongo!!! Wacha nije na mpya za Nairobi!!! Mtajiju!!!
haiwezekani mr wanjala uniambie nairobi ina magari mengi kuliko tanzania nzima.....😀😀😀😀
😀😀😀 hvi wewe huoni foleni ya dar 1590.5 km sq...

kwanza how do u take tanzania?? au bado mawazo unawaza tanzania ile ya 90s

na mimi hua situkani na sijawah mtukana mtu but sometimes usipende kuongea sana mpaka unajikuta kuongea nonsense.

na mm nakuhakikishia mr wanjala kwa maendeo yalivyoshika kasi Tanzania....hutokuja kuongea anything na nitakutafuta tuongee tena😛😛😛😛😛
 
wakenya washazoea mapicha yenye effects full editing.....haa haa wakenya mnaishi na maigizo angali life yenu mbovu...
 
wakenya washazoea mapicha yenye effects full editing.....haa haa wakenya mnaishi na maigizo angali life yenu mbovu...
Wabongo ni watu wakushangaza sana, sasa wewe huishi hayo maisha mabovu, unawashwa na nini?? Unajua lack of exposure in Tanzania imesababisha mambo kama haya!
DAw40cUXUAAU9mi.jpg

Lack of exposure!!
 
Back
Top Bottom