Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wabongo ni watu wakushangaza sana, sasa wewe huishi hayo maisha mabovu, unawashwa na nini?? Unajua lack of exposure in Tanzania imesababisha mambo kama haya!
View attachment 515167
Lack of exposure!!
wew umepagawa kama uliikosesha wew sawa.......endelea kuishi maisha ya umaskini.......nyie si mnategenea exposure sababu ya njaa njaa zenu......na mtskauka mpaka basi....
 
baadhi ya mabweni ya chuo bongo na dodoma
c3levpiwiaefzhg-jpg.464694
dom1-jpg.473507
Hahaha ata pavements hakuna iyo ni chuo gani ovyo hivyo....alafu unacompare hizo upuzi na Nyayo estate the biggest estate in Africa
 
4 Days to go!! Here it from the employees of the SGR Kenya


SGR Ladies in the cabin. look at how those trains cruise
 
Hahaha ata pavements hakuna iyo ni chuo gani ovyo hivyo....alafu unacompare hizo upuzi na Nyayo estate the biggest estate in Africa
mpuuzi kweli wew weka ...bweni za chuo zenu hapa......tucheke.... na hizo estate zenu tulikosea sana kulinganisha na hizo vibanda kwani hazigusi hata robo
 
Izo ma hao za Nyayo zinauzwa 2 bedrooms na 3 bedrooms,10 million na 15 million respectively...... Tuma picha za estate ka hio Tz mnaishi kwa Madongo poromoka wengi wenu
Sometimes unapoint sometimes pumba hua sielew apo, alafu pumba zako ni zakiwango kabisa
 
Back
Top Bottom