Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaahhaa katika maneno yaliyonifurahisha Leo ni haya.....wanjala are u going crazy my friend??
Maana naona hata hujui unachoongea kaka....pumzika kwa leo🙂🙂😀😀😀😀
ha hiyo English aliyoitumia ni very poorness... aisee....too bad
 
Mimi ni mtanzania nimeishi kote dar na Nairobi, hapa naona kuna confusion kidogo ya watu kusifia kwamba dar ina beach na nairobi haina beach, Seriously guys!!! Nairobi ni inland city guys sio kama dar ambayo ni coastal city, Hapa ni kama mnamfanya mtu mrefu apige magoti afu ashindane mbio na mtu mrefu...So irrelevant.

Back to the discussion.....Nairobi lile jiji kulinganisha na Dar es salaam ni kuiaibisha tz mana bado hatujafika zile level..Hii sio vita ya kuangalia idadi ya comments zilizosifia jiji fulani, NAIROBI NI HABARI NYINGINE ...PERIOD!!!!! Nenda Nairobi ukae wiki moja utembee uone utofauti,
Kala..... halo ulipo unajifanya unaishi far wakati hauijui far...... ushazoea..... mavumbini......... Karibu Sana Kwenye thread inayohitaji vitendo zsidi na simaneno... tatizo mazoea pole sana
 
Tanzania is where it is because of Kenya, Example, if Kenyans withdraw from this JF! It gets closed!! We run the show here!!!
umejuinga na jf 2016,mimi nipo hapa tangu 2011.kenyaforum ipo active kwa sababu ya bidii ya watz.bila sisi kenya forum inakuwa dormant.hilo linafahamika tangu siku nyingi.

pia topic zenye namba kubwa ya viewers na zinazo endelea ku-trend hapa kenyaforum,ni zile zilizoanzishwa na watz.
moja wapo ya thread hizo ni hii hapa.

c39698feddaa696232d0a28bf00e7b6f.jpg

hii thread ilianzisha na mtz anaitwa Annael.
nionyeshe topic iliyoanzishwa na mkenya yenye viewers wengi kushinda hiyo na inayoendelea ku-trend mpaka sasa.

thread nyingi zinazoanzishwa na wakenya huwa hazina mvuto,baada ya siku mbili au tatu,zikishafikisha page nne ,zinapuuzwa.

mfano ni ile thread iliyoanzishwa na mkenya ikizungumzia ugomvi wa wakenya na watanzania kule Twitter.tayari watu wameshaipuza.
 
umejuinga na jf 2016,mimi nipo hapa tangu 2011.kenyaforum ipo active kwa sababu ya bidii ya watz.bila sisi kenya forum inakuwa dormant.hilo linafahamika tangu siku nyingi.

pia topic zenye namba kubwa ya viewers na zinazo endelea ku-trend hapa kenyaforum,ni zile zilizoanzishwa na watz.
moja wapo ya thread hizo ni hii hapa.

c39698feddaa696232d0a28bf00e7b6f.jpg

hii thread ilianzisha na mtz anaitwa Annael.
nionyeshe topic iliyoanzishwa na mkenya yenye viewers wengi kushinda hiyo na inayoendelea ku-trend mpaka sasa.
waambie hao maana wanakazana kwa kujifariji mombasa road mara sijui ngugi road..... wakenya wamejawa unafki pia uzandiki....nyang'au wakenya
 
wakenya hamna reality life.....mnaigjza sana....hayo ndyo maisha yenu
 
Mimi ni mtanzania nimeishi kote dar na Nairobi, hapa naona kuna confusion kidogo ya watu kusifia kwamba dar ina beach na nairobi haina beach, Seriously guys!!! Nairobi ni inland city guys sio kama dar ambayo ni coastal city, Hapa ni kama mnamfanya mtu mrefu apige magoti afu ashindane mbio na mtu mrefu...So irrelevant.

Back to the discussion.....Nairobi lile jiji kulinganisha na Dar es salaam ni kuiaibisha tz mana bado hatujafika zile level..Hii sio vita ya kuangalia idadi ya comments zilizosifia jiji fulani, NAIROBI NI HABARI NYINGINE ...PERIOD!!!!! Nenda Nairobi ukae wiki moja utembee uone utofauti,
kwanza wewe mtanzania wa wapi?????😀😀😀😀hayo maoni yako usifkiri wengine tumeyatoa kwenye ndoto tumetembea kote ndio maana tumeona tofaut....nairobi bado sana tena sana kwa dar
 
True, huku we don't have that culture,
Yaani nakaa kwenye Bweni na majirani Mobu.
Huku we have the so called informal settlement,
Yaani people buy a plot of Land in Town and build a house basing on individual requirements. You build a house of your dream. Maisha za mabwenini hatujazoea bwana. May be tutajatibu maana I see real estate is coming in dar as well.
Nakuelewa brathe....hamuezi fikia hizi standards
 
mm sinilisema toka mwanzo wachina wamewapiga hata muonekano wa train ni wakizamani tu alafu anakuja mtu kujisifu, subiri muone sgr ya kisasa tanzania baada ya 2years, stay calm
Hahahahahahaha tz mnachekesha
 
Back
Top Bottom