Mimi ni mtanzania nimeishi kote dar na Nairobi, hapa naona kuna confusion kidogo ya watu kusifia kwamba dar ina beach na nairobi haina beach, Seruously guys!!! Nairobi ni inland city guys sio kama dar ambayo ni coastal city, Hapa ni kama mnamfanya mtu mrefu apige magoti afu asgindane mbio na mtu mrefu...So irrelevant.
Back ti the discussion.....Nairobi lile jiji kulinganisha na Dar es salaam ni kujiaibisha...Hii sio vita ya kuangalia idadi ya comments zilizosifia jiji fulani, NAIROBI NI HABARI NYINGINE ...PERIOD!!!!! Nenda Nairobi ukae wiki moja utembee uone utofauti,