Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heheeee!!naona umeanza kusoma alama za nyakati...graph imekueleza vizuri km 2016 tulikuwa na percwnt ngapi...2017,2018 na 2019 hawajaweka...
Sasa wewe endlea kujifariji

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekubali kuwa kenya kuna asilimia kubwa ya watu wanaoishi kwenye umasikini au bado unabisha maana hata hiyo graph imeonesha.
 
I like honest people like you. watu wanaosema ukweli bila kupumbazwa na uzalendo. Wenzako walishaanza kukana hizo picha Kama ilivyo desturi yao na kusema sio za Tanzania. Okay Nina Swali: picha alizoleta ichoboy za Kaloleni kisumu zilionyesha mtaa ambayo iko na lami hadi taa za barabara na imepangika tu vizuri na nyumba zilikuwa za block ila mkaziita slum. Nasema hivyo Kwa sababu Naona umetaja kwamba yale maeneo ya Arusha niliyoonyesha kuna mabadikiko makubwa na kwamba siku hizi kuna lami. So lami ni bora tu ikiwa Kwenu ila ikiwa kwenye mitaa zetu hazina umuhimu wowote? Ile Kaloleni alioonyesha ichoboy ni bora kushinda Mitaa nyingi sana hata kule Dar ila huku mnaziita slum
buddy i never said n slum m naangaliaga tu ila hii n battle so everyone anawaza ur weakness kuliko ur strength ayo makazi ya kisumu me nimeona ni kawaida hata korea kuna mrundikano wa nyumba ila kama mtu anapata umeme maji hospital i see no problem hata yuko anaishi kwenye so called slum so i think makazi ichoboy aliyoyaleta hayana tatizo kwangu mkuu nimeona yameendelezwa lami safi m sijaona tatizo kasoro tu izo nyumba na vibanda vya bati ndio vinazingua ila otherwise ni sehemu nzury kama watu waki work hard wakaendeleza makazi yao kama serikali inavozidi kuwa support

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna picha za mwanza nilileta kabla ya hizo za Arusha. Pitia kurasa za nyuma
yeah zipo ila kwenye ulizotuma hapo nika ku quote ni arusha na ni sehemu ambazo nimepita so nazijua ila za mwanza juu nimeziona mkuu ila sijatia neno maana sijawahi fika mwanza m arusha dar mbeya kilimanjaro naweza nkakuelewesha hali halisi ya makazi yake ndio sikuongelea kuhusu ya mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzako alisema hizo picha sio za Arusha. Get my point. And by the way, can you show us the current status of those places kabla ya kutuonyesha za kisumu?
ningekua arusha ningekupigia izo sehemu exatly ulizopost ila sipo ziko improved kwa miundombinu ila not 100% pia watu wa hayo maeneo nyumba za kuta za block zimezidi sa hv nyumba ya ajabu utakuta ni mbili katika kumi kila mtu anajitahidi kuendelezea eneo lake mkuu japo sio kwamba kumebadilika 100 hapana ila kuna big dfrnc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This looks and smells like poverty in a ldc country

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema hizo ni dream houses 😂 😂 😂 Then mtu analeta picha za Kaloleni kisumu then calls it a slum. Look at the way Kaloleni looks from above then compare with those squalors in Dar
Kaloleni kisumu
2251648_tapatalk_1577185898968.jpeg
 
Back
Top Bottom