Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

meshindwa kucomment ila nazani ni watu hatujaeliwana kuhusu mfumo wa makazi kwenye hizi nchi mbili ni tofauti kidogo ndio maana kila mmoja ana tukana wenzie hapo kaloleni naona ni pazury ki huduma sema makazi ya watu ndio yanaaibisha hapo kaloleni ila hapo mbagala hapana mpangilio hio ni moja barabara nyingi upana mita tatu so ukipiga picha juuu sana utakuta huoni kabisa road ndio maana watakuambia zoom ili uone ukweli barabara za kwenye makazi bongo ni for one car kumove around na nyingine hata hilo moja linapita kwa shida ila ukienda apo apo mbagala utakuta nyumba duni ni za matofali hatakama hazijapigwa plasta pia utakuta hakuna uchafu to extent unlike sehemu nyingi duni zinazopostiwa hapa kibera na uchafu pia ni tatizo kwa io ukija ku conclude utagundua kaloleni iko arranged na inaonekana vizury ila wakazi wake hawajajiweza vizury bado ila mbagala makazi yapo randomly ila wakazi wake wamejitahidi kujiimarishia makazi yao yaonekane pia gharama kujenga dar n affordable sana maana mchanga ukichimba choo ndio huo utafytulia tofali nakathalika ndio makazi duni 99% dar utakuta yana kuta bora japo yako ajabu au finishing sio nzury mfano hio clip iliyoekwa apo n project ambazo zinaendelea baathi ya sehemu kwa ajili ya improvement of unplanned settlement chini ya dmdp unapunguza kwa percent fulani makazi ambayo hayajapangiliwa kwa kuongeza upana wa barabara na kuzi pave kisasa ili makazi yawe kwenye mpangilio japo bado hayataishaa ila kwa asilimia tutayapunguza ila nazani wote wa kaloleni na mbagala wanapata maji na umeme na kituo cha afya ivo vinatosha kudetermine kuwa n binadamu wanaishi vizury muonekano wa makazi yao usifanye tuwaite hawa wanakaa kwenye slum as if sio human being muhimu wanapata huduma za kijamii basi kwangu n juhudi zao ku prove makazi yao hata kama hayajapangiliwa mfano kama ningeweza kushauri mngeeka program ya vyoo na usafi kibera amina pangekuwa panavutia usingekumbuka wanaishi low income that all i can say

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro, una utu kweli walai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa Ulimaanisha nini unaposema wakaazi wa Kaloleni hawajajiweza vizuri lakini wa Mbagala wanajiweza vizuri. Ningependa ufafanue hapo kidogo ili Nielewe zaidi. Mambo mengine yote umesema ni ya kweli. Hawa wenzako naamini wamesoma ulichokiandika
namaanisha wakazi wa kaloleni makazi yao bado hayajawa yakuvutia sana ila wakazi wa mbagala makazi yao sio duni kutokana na upesi wa kujenga nyumba za tofali dar pia ukichangia maeneo mengi tz tunaishi mixture yani hapa utakuta maskini pembeni kuna tajiri yani tuko mixture tajiri ananunua kiwanja mbagala akiona tu kuna sehemu ya kupitisha gari hadi kwake io imepita simanishi wakazi wa kaloleni ni maskini kuliko wa mbagala apana wote wanaweza wakawa sawa ila nature kwa wa mbagala ina mfavour maana yeye akichimba chini ni mchanga ivo anapata tofali kiulaini ila kaloleni yeye nature ikawaa haijamfavour sana ili kieka mazingira yake vyema ndio maana ukienda dar 99 nyumba zote n za tofali za mchanga maana ni rahisi ukija mbeya 80 ni tofali za udongo bila kuchoma maana nature ya udongo ina wa favour kitu kama icho ndio nnamanisha kama nimekosea kuhusu side ya kenya unaweza ukani correct

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duka za bati hazipatikani bongo au?
no boss huku ni za chuma izi ni movable hasa hasa mawakala pia mbao ila kwa saluni na maduka mengi ni kwenye majengo ila pia kuna vibanda hivi ndio vya mbao na bati ila hizo n za kuuzia mboga mboga nyanya na masokoni ila kwa biashara kama saloon na maduka na nyingi ambazo ziko kijasiriamali wako kwenye kupanga frem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi jenga duka au salon kw tofali km kiwanja sio chako..
Ndio manake wwngi wanaojiweza wanqjikombolea container

Sent using Jamii Forums mobile app
anhaa kama ni ivo yote sawa ila its best property owner angejenga awapangishie mbona pangekuwa gudy vibaya mno ila hilo n tatizo lao wakishirikiana wanaweza improve makazi yao na biashara zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is Kisumu Hotel where Ichoboy said he spent his time. Interestingly, he didn't manage to take any pictures here because he was "busy" according to what he said when asked.
images(162).jpg
images(161).jpg
images(163).jpg
images(165).jpg
images(164).jpg
frontksm8.fw.png
images(162).jpg
images(161).jpg
images(163).jpg
images(165).jpg
images(164).jpg
frontksm8.fw.png
images(162).jpg
images(161).jpg
images(163).jpg
images(165).jpg
images(164).jpg
frontksm8.fw.png
images(162).jpg
images(161).jpg
images(163).jpg
images(165).jpg
images(164).jpg
frontksm8.fw.png

After leaving the hotel, he proceeded all the way to Kaloleni "slum" which is several kilometres away from the hotel to take pictures of people riding bicycles 😂 😂. On his way, he did not even see anything interesting to capture. Just to remind you, the area around Kisumu hotel is a very beautiful place with malls, hotels, banks (including the Central Bank of Kenya), parks and other places of interest. He did not see any of these but headed straight to Kaloleni to bring pictures of what he calls slums kufurahisha Watanzania wenzake. Below are a few places around the hotel where "he was". These are just meters away from the kisumu hotel (not even a kilometre!)
images(168).jpg
images(167).jpg
images(166).jpg
images(169).jpg
images(170).jpg
 

Attachments

  • images(165).jpg
    images(165).jpg
    46.3 KB · Views: 8
  • images(164).jpg
    images(164).jpg
    44.4 KB · Views: 8
This is Kisumu Hotel where Ichoboy said he spent his time. Interestingly, he didn't manage to take any pictures here because he was "busy" according to what he said when asked.
View attachment 1305113View attachment 1305114View attachment 1305115View attachment 1305117View attachment 1305122View attachment 1305123View attachment 1305113View attachment 1305114View attachment 1305115View attachment 1305117View attachment 1305122View attachment 1305123View attachment 1305113View attachment 1305114View attachment 1305115View attachment 1305117View attachment 1305122View attachment 1305123View attachment 1305113View attachment 1305114View attachment 1305115View attachment 1305117View attachment 1305122View attachment 1305123
After leaving the hotel, he proceeded all the way to Kaloleni "slum" which is several kilometres away from the hotel to take pictures of people riding bicycles 😂 😂. On his way, he did not even see anything interesting to capture. Just to remind you, the area around Kisumu hotel is a very beautiful place with malls, hotels, banks (including the Central Bank of Kenya), parks and other places of interest. He did not see any of these but headed straight to Kaloleni to bring pictures of what he calls slums kufurahisha Watanzania wenzake. Below are a few places around the hotel where "he was". These are just meters away from the kisumu hotel (not even a kilometre!)
View attachment 1305126View attachment 1305128View attachment 1305129View attachment 1305127View attachment 1305138
Nashkuru kwa kutuonesha hotels😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom