Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20191226_230551.jpg
 
Ilete wenzako pia waione

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda screenshot yote ipost hapa bila kucrop kitu,
Ukibishana na mimi hakikisha una tumia akili na sio makwapa.
 
Nenda screenshot yote ipost hapa bila kucrop kitu,
Ukibishana na mimi hakikisha una tumia akili na sio makwapa.
Ushamfukuza tayari😀😀😀😀
 
Hakuna mtu amesema hatuna people living in extreme poverty ila idadi yetu ni ndogo ikilinganishwa na yenu ndio maana hatujawekwa kwenye hiyo list ya top ten.
Yaani unadanganya huku naona kabisa so kwenu hamna masikini kabisa masikini wapo USA CHINA SA.back to school narudia kukuambia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli haya ni mapinduzi makubwa sn na nlikuwa nasema hii nchi ilihitaji uzalendo kdg tu kufny wonders ss dalili za mafanikio makubwa zinaonekana kila unapogusa kumekucha..

Usafiri wa anga kumekucha
Usafiri wa reli kumekucha
Usafiri wa maji kumekucha
Huduma za afya kumekucha
Miundombinu barabarani kumekucha
Utalii kumekucha
Ushirikiano wa kiuchumi na majirani kumekucha
Mashirika ya kiserikali kumekucha

Yani kila unapogusa kumekucha af anatokea mpumbavu mmoja anatuambia eti tupo in wrong direction wivu utawaua mwaka huu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom