Naona marchitect kutoka chuo kikuu Ardhi kipindi kile UCLAS campus ya UDSM
Je wewe kunyaland kwenye 100 mnao wangapi?It's crystal clear you can read but you can't comprehend anything. That report talks about people living in extreme poverty as share of world total. It's not about the total number of people living in extreme poverty in a given country against the the total population of that country. It's about people living in extreme poverty in a given country as a share of the total number of people living in extreme poverty worldwide na hapo mnachangia asilimia tatu ya hiyo idadi. Kiufupi ni kwamba kati ya watu Mia moja who live in extreme poverty worldwide, kuna watanzania watatuMbona mambo rahisi hivi mnashindwa kuelewa?
Wa Kenya sio wabunifu kwa swala la muziki.sahivi naona wanamziki wao washanza kukopi bongo flava baada yakuona bongo flava inapasua border na kufika mbali Africa na dunia kwa ujumlaWalijaribu kususia muaic wa Tanzania
Sasa sijui ilikuwaje
View attachment 1304130
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi upo kila mahali.Kila mtu na maisha yake...km vile wewe umeamua kuukumbatia uchawi basi mi sina budi kukuacha na maamuzi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu amesema hatuna people living in extreme poverty ila idadi yetu ni ndogo ikilinganishwa na yenu ndio maana hatujawekwa kwenye hiyo list ya top ten.Sawa sisi kwenye 100 tunao wa3Je wewe kunyaland kwenye 100 mnao wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti ndogo 😂😂😂 nani kakuambia,Hakuna mtu amesema hatuna people living in extreme poverty ila idadi yetu ni ndogo ikilinganishwa na yenu ndio maana hatujawekwa kwenye hiyo list ya top ten.
So his words are gospel truth because he is a vlogger?Hivi wewe una akili kweli?, huyo mwenzenu katika hiyo video yake ndiye amesema kwamba " Leo ninaenda kufanya video ya "down town", kwanini msiweke " comments " katika hiyo video yake kumuambia kwamba hayo maeneo sio " down town " asiwachanganye " subscribers" wake?.
Ninyi wakenya ni watu wa ajabu sana, ukisoma " comments " ktk hiyo video, hakuna hata mkenya mmoja aliyekosoa, wote wamekubaliana naye. Kwahiyo ninyi hapa JF, ndio wenyekuijua Nairobi kuliko yeye?, acheni ujinga wa kujifanya mnajua zaidi ya wengine.
Niwaambie ukweli, tabia hii ya kujifanya wajuaji kuwazidi wengine, ndio inayowafanya msielewane wenyewe kwa wenyewe, na pia msielewane na nchi jirani, unadhani huyo jamaa atajisikiaje akijua kama wakenya wenzako wanasema haijui Nairobi?. Kamwe hamuwezi kuelewa na nchi yoyote hapa Afrika ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
EL AL
Tuwasaidie naona 👇👇👇kisumu yooote!!! hapo
How are your grandchildren old man?
Sijarudi bado bro Niko na jamaa zangu huku