Huwez sikia habar kama hii kwa ndugu zetu😀😀😀
Ndio mna tu overtake sioHooo wakenya wasomi wakenya wasomi cha kushangaza haya maswali mawili wanashindwa kunipatia Jibu
1) zimebaki siku ngapi kufika mwakani
2) A NUMBER OF SLUM IN KENYA
Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa dar ina nn, ukubwa wa bure tu...westlands ni kubwa kuliko kariakoo, posta, upanga...Du mbona kadogo hivyo mm nilijua kelele za Westland ni mji kama km10 kutoka cbd arafu wanakuja kubisha hapa kuwa nai ni kubwa kuliko dar pumbavuu sana ndiyo maana sijawai kusikia MTU kapotea Nairobi ila hapa dar wakija wanapotea kila siku unakuta mkenya yupo dar Kwa miaka 10 ila bado anapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo unakataa km EA tanzania ndio inaongoza kw idadi ya watu maskiniBwaahhhhh slum boy ngoja nasisi tujenge slum na kurusha flytoilet ili tuwe Matajiri kama nyinyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar uwezani nayo jomba majengo ni mengi sana na dar nikubwa lazima ujumlishe majengo yote Mombasa na Nairobi hapo mtakuwa mmefikia nusu ya kujengeka Kwa dar
Umewakamata sehemu nyeti 😂 😂 😂There is no sane company that can leave Kenya for Urogi nation.View attachment 1304304
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu wanajaribu kukubebeni wakenya Kwa kuonyesha kuwa MNA Akili kuwasujudia wao dhidi ya tz ila hata nao wanaona aibu maana ukweli upo wazi kabisa maisha ya watz ni mazuri na mepesi Mara 3 ya Kenya wewe subiri mwakani kama ninavyo waambia mtauona ukweli Kwa macho yenu maana hao wazungu lazima wakakubali wenyewe kuwa tz is greatKwhyo unakataa km EA tanzania ndio inaongoza kw idadi ya watu maskini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo unakataa km EA tanzania ndio inaongoza kw idadi ya watu maskini
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaa!!umeshindwa ku screenshot mwenyweNenda screenshot yote ipost hapa bila kucrop kitu,
Ukibishana na mimi hakikisha una tumia akili na sio makwapa.
More than just growth: Accelerating poverty reduction in Kenya
Kenya has been covered widely in economic news over the last decade, from the first large-scale application of mobile money to a vibrant technology hub in Africa. Indeed, Kenya experienced robust economic growth from 2005-06 to 2015-16, growing at an average annual rate of 5.3%, higher than the...blogs.worldbank.org


hyo hapo world bank wameweka mpaka 2016


Wapi nimesema "overtake "Ndio mna tu overtake sio
Asante sana kw kujua km bado mko nyuma yetu...mpka mnawaza ku tu overtake, hyo ni dalili tosha ya kwmaba mnapiga domo bure ila ukwel mnautambua
Sent using Jamii Forums mobile app