komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Usirukie mashaza mat**o wazi, utapasuka mku**uUchawi upo kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usirukie mashaza mat**o wazi, utapasuka mku**uUchawi upo kila mahali.
Sasa leta hzo data za world bank kenya na tanzania tulinganishe idadi ya maskiniEti ndogo [emoji23][emoji23][emoji23] nani kakuambia,
Hivi unajua kenya ni asilimia ngapi na Tanzania ni asilimia ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unajua kuwa Tanzania ndio inaongoza ukanda huu kwa kufanikiwa kupunguza umasikini.
There is no sane company that can leave Kenya for Urogi nation.SGR Kenya's messy
Kwani hiyo tweet Imepostiwa na kibera bank 😂😂😂 tatizo la kutojua kusoma na ujinga mwingi.Sasa leta hzo data za world bank kenya na tanzania tulinganishe idadi ya maskini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna una ruka ruka jomba....leta data za world bank tulinganishe..au unaogopa[emoji1787]Kwani hiyo tweet Imepostiwa na kibera bank [emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la kutojua kusoma na ujinga mwingi.
Kwani kuna word bank ngapi.Mbna una ruka ruka jomba....leta data za world bank tulinganishe..au unaogopa[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikuchome kidogo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Kwani hiyo tweet Imepostiwa na kibera bank [emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la kutojua kusoma na ujinga mwingi.
Bwahahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani kuna word bank ngapi.
Mjinga mmoja,Ngoja nikuchome kidogo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1304310View attachment 1304312
Sent using Jamii Forums mobile app
World bank wanaongelea kuhusu nynyi, lkn tukichanganya EA mnaongoza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjinga mmoja,
Usinilaumu mimi Walaumu World Bank.
Itabidi ukubali tu japo ukweli unauma,Bwahahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujue mwaka umeisha so soon za 2019 zitakua hewani...
Kw umaskini EA namba za juu juu tumewaachia nynyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mbona umescreen shot nusu 😂😂😂 mbona umecrop sehemu walipo andika asilimia za watu wanoishi kwenye umasikini.World bank wanaongelea kuhusu nynyi, lkn tukichanganya EA mnaongoza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ya 20q9 hyo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1304320
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii mbona umescreen shot nusu [emoji23][emoji23][emoji23] mbona umecrop sehemu walipo andika asilimia za watu wanoishi kwenye umasikini.
Mkifikia huku ndo mje kubishana hapa.
Niogope ujinga,Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekwambia km huamini lete data za world bank afrika nzima tulinganishe...
Mbna unaogopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Data ya World Bank ndio hiyo inasema Tanzania poverty level ni 26%, lete percentage ya Kenya. Hahahaha, hahahahaBwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekwambia km huamini lete data za world bank afrika nzima tulinganishe...
Mbna unaogopa
Sent using Jamii Forums mobile app