Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona tangu jana nakuchoma sindano kali kali sana...

Sio wewe huaga unaimba daily eti tu zoom, sasa kaleta kitu kw ground mmeanza kuweweseka...



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli na wewe unaweza choma mtu sindano 😂😂😂 maajab,
Embu fuatilia juu huko uangalie kilichopostiwa alafu uone mjinga mwenzio kapost nini na upunguze ushakunaku wa kurukia vitu ovyo.
 
not so fast...

A reason I said UAE acceptance to host Kenyan flag is unethical!

2240142_Screenshot_20191213-125332.jpg


To a country recipient of this food donation


It was free. Just a special request from the Kenyan consulate in Dubai. They''ve done it to Uganda and I guess Angola too on their independence day celebration. Nothing special
 
Kwani unadhani mwakani ndiyo tutawapita kimaendeleo hata sasa tumesha wapita ila mnaleta ubishi bure mwakani ndiyo mwanzo wa wakenya kukili wenyewe Kwa midomo yenu kuwa tz ni great country than you

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kujidanganya inakupa raha then by all means do it. Ni haki yako.
 
True bongo bado sana ni kelele tu za kujitutumua afu tunaona tumefanya vikuubwa.Afu hii tabia ya kuto focus projects chache na kuzikamilisha vizuri inasababisha kutokuwa na impacts kubwa kwa eneo,mfano unajenga tu flai ova 2 unahamia projects nyingine tofauti ile foleni inakua umehamishia sehemu but tungefocus kufanya overhaul kwenye area zote ingebadili mji kabisa badala ya kutapanya tapanya na kuruka ruka
Nina mifano mingi ya projects za hivyo zilizoishia njiani kama ulgsp na hii ya kujenga hospitali kila wilaya,vituo vya afya kila kata na dispensaries kila kijiji,Serikali ifanye kama REA ukiazimia jambo unamalizana nalo mazima
Serikali zote changa na you can't expect much. Serikali nyingi za Africa wamependa hype ili kuonyesha wananchi kuna jambo linaendelea. Dar miaka ishirini itakuwa mji wa kutamani sana infrastructure wise. Lakini naona wengi humu wamechoka kungoja ikabidi kupunguza muda to "mwakani" ilhali mambo bado jikoni. Hizo projects zinasimama kwa kuwa serikali iko constricted financialy. Imepeleka pesa kwa mambo ambayo yangefanywa na private businesses
 
Back
Top Bottom