Lini utakuja dar maana kila mkenya aliye post vibali vya kuja Tanzania na kututishia kuonyesha slum akifika tz walipotea awakuleta mlejesho kuna huyu wa juzi aliyekuja akakubali kuwa JNIA ni nzuri kuliko JKIA nilimkumbusha mapema asisahau kuleta picha alizopiga slum yeye mwenyewe hadi keo kimya ,je wakenya siuwa mnasema mnatembea nchi mbalimbali siyo kama sisi watz sasa inamaana wakenya wote walio kuja tz na waliopo Tanzania ni wasaliti hakuna aliye weza kuleta picha za slum? Sasa tunakutaka wewe komora uje dar utuonyeshe picha za slum
Sent using
Jamii Forums mobile app