Sinimesema hapa wamepoteza pesa za taxpayers🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Garissa solar power plant project....To be launched todayView attachment 1290659
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza chuki wewe toka magu kaingilia madarakani ana km zaidi ya 2000 utasemaje 300 Miaka 30 heheh yani unachuki za kipuuzi sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe wa korido za ikulu ndio wajua hivyo ila sie wa huku grassroot hatuoni hiyo usemayo
Barabara ya km 300 utajenga km 30 kila mwaka utamaliza lini? si hadi Yesu arudi sasa
Sasa impacts za hizo projects kwenye uchumi wa nchi na mtu mmja mmja ni sawa na barabara au unajichekesha kwa sababu hulipii sauti na mdomo ni wako?Ndege na SGR haina impact yoyote serious🤣🤣🤣 aisee ni hatari
So unajisifia nn wakat sonko kaiba zaidi ya hzo 🤣🤣🤣🤣🤣 kaiba 15m dollar unazungumzia dolla laki 3 au hio kwako sawaSonko aachiliwa kwa dhamana ya 700 million approx.....View attachment 1290793
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi we dont celebrate majanga kwa watu wengine kama akina geza na joto la jiwe.Tanzanians think we don't have their nudesView attachment 1290779
Sent using Jamii Forums mobile app



Chuki za nini mimi naelezea kilichopo tena kwa mujibu wa vyanzo vya serikali kama tanroads na Tarura ingia kwenye website zao utaona.Afu nimesha site baadhi ya barabara wewe unasema zinajengwa wakati sie tulio huku hatuoni,mfano kutoka chunya hadi Tabora kuna kilomita 500 serikali imempa kazi contractor kujenga km 40 sasa hiyo trunk road itaisha lini kwa mwendo huo? Serikali iweke nguvu zaidi kwenye barabara ndio zitatusaidia zaidi but kama unataka kubishana ushiinde endelea mwenyewePunguza chuki wewe toka magu kaingilia madarakani ana km zaidi ya 2000 utasemaje 300 Miaka 30 heheh yani unachuki za kipuuzi sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani unazungumza sgr ina impact gan kwenye uchumi hvi wewe unaakilo timamu??🤣🤣🤣 hujui impacts zake kwenye uchumi au hujasoma ndugu ndege ina impact kubwa sana kwenye kuleta watalii na ikizingatia utalii ndio imekua kichocheo kikubwa cha mapato serekalini mbali na kuleta watalii pia ni kigogo kikubwa cha kutangaza watalii au hujui utalii umeajiri watu laki 5 na zaidi na hapo bila kusahau airline pia inaajiri watu wengi tuSasa impacts za hizo projects kwenye uchumi wa nchi na mtu mmja mmja ni sawa na barabara au unajichekesha kwa sababu hulipii sauti na mdomo ni wako?
Afu usinilishe maneno sijasema hazina impacts yoyote ila nimesema hazina impacts kubwa ya kuchochea maendeleo ya mtu mmja mmja na taifa kama roads,hizi reli na ndege zimekuwepo miaka yote na zilijifia kinachobadilika hapa hasa reli ni speed tu..
Unaeleza chuki zako zilizokujaa wewe lakini sisi ndio tunaona maendeleo tena ni makubwa sana na kwa taifa yako barabara zinajengwa sana tena kwa speed kubwa wasifkiri hatuna barabara zinazojengwa DMDP pekee wanajenga barabara zaidi ya km 300 dar pekee alaf unaniambia km 300 miaka 30 kama sio chuki na upuuzi ni nn🤣🤣🤣🤣Chuki za nini mimi naelezea kilichopo tena kwa mujibu wa vyanzo vya serikali kama tanroads na Tarura ingia kwenye website zao utaona.Afu nimesha site baadhi ya barabara wewe unasema zinajengwa wakati sie tulio huku hatuoni,mfano kutoka chunya hadi Tabora kuna kilomita 500 serikali imempa kazi contractor kujenga km 40 sasa hiyo trunk road itaisha lini kwa mwendo huo? Serikali iweke nguvu zaidi kwenye barabara ndio zitatusaidia zaidi but kama unataka kubishana ushiinde endelea mwenyewe
Na hapa naona wafanyakazi wa Sgr kenya wakiandamana wanadai hawajalipwa ujira wao 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣pesa ya kuwalipa iko wapi sgr inaendesha hasaraNa hapa naona wafanyakazi wa Sgr kenya wakiandamana wanadai hawajalipwa 😂😂😂
Ndio maana wanazidi kukamuliwa kodi alafu kodi haijulikali inaenda wapi 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣pesa ya kuwalipa iko wapi sgr inaendesha hasara
Mtu anasherekea sonko kulipa Dola laki 3 wakat wakat kaiba dollar million 15🤣🤣🤣🤣Ndio maana wanazidi kukamuliwa kodi alafu kodi haijulikali inaenda wapi 😂😂😂