Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Wakenya wakijaga TZ wanafikiri Iringa ni City kumbe ni just Mkoa wa Iringa
Leo mnataka aerial view...sio nynyi huaga mnaikataa na kusema tu zoom mnataka kuona vitu kw ground..Umeleta aerial view yeye alivyo mjinga kaleta kijisehemu cha jengo![]()
Leta malls za tangaAhahhahah acha ajipe matumaini ulitaka kumueza zaidi mwambie akuletee airport ya kisii![]()


Utaua watu kw presha...hawajui kenya hayo ni mambo ya kawaida, watu wanawekeza karibia dailyMwalimu sacco housing-kisaju
Njombe
Yaani wewe huwa ni kudandia tu treni kwa mbele bila kufahamu inaenda wapi.Leo mnataka aerial view...sio nynyi huaga mnaikataa na kusema tu zoom mnataka kuona vitu kw ground..
Kwel watanzania akili zenu mnazijua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnapenda kujifariji wakati roho inauma😂😂😂😂Hohohooooo!!!naona imekuingia
"This is dar"bomuuuuuView attachment 1292129
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂. Vijengo vya bei ndogo kama kawaida. Hatutamaliza miezi mitatu utasikia limeanguka na kuua poor kenyans.Mwalimu sacco housing-kisaju
Roho iniume kw huo uchafu...heheeeMnapenda kujifariji wakati roho inauma![]()
Manzese hawaishi kwenye vibanda vya njiwa
Acheni kuja uchafu humu.Kisii ingelikua tanzania mgeiita cityView attachment 1292203View attachment 1292204
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinionyesha mjengo wowote ambao upo katika project km hyo umeanguka ni log off jf.... Vijengo vya bei ndogo kama kawaida. Hatutamaliza miezi mitatu utasikia limeanguka na kuua poor kenyans.
Naona tangu jana nakuchoma sindano kali kali sana...Yaani wewe huwa ni kudandia tu treni kwa mbele bila kufahamu inaenda wapi.
Kilio cha uchungu kweliManzese hawaishi kwenye vibanda vya njiwa





