Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Issue ni ulete picha zinazoonekana kwa ground zikionesha slums za dar kama tunavoleta za kwenu
Sasa mbna unateseka jomba, hzo ndio middle class za dar..so unatakiwa kupinga km hujakubaliana na mm manake ukisema sijui hyo ni aerial na hii hapa pia ni aerial ya nyayo estateView attachment 1290046

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano wa slums ya kenya ambazo zinaonekana kwa ground ni
images(6).jpeg
images(5).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miradi yote iliyokamilika mlisema hv hv renders ata huo utakamilika na mtakaa kmy kuhusu hyo pcha ya kijijini ni kawaida Afrika nzima maisha ya vjjn ypo hvyo jpo nchi zngne km kenya hali ni mby zaidi kwa watu wanaoishi vjjn
Render za soko ndio mnajua kuchora....nchi ya hadithi.......hiyo pesa pia msaidie nayo wengi ya watanzania wanavyoishi hivi...maisha duni hatariView attachment 1290439View attachment 1290440

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe masikini wa bibra hiyo umepost ndiyo nini ? Ndiyo maana nawatahadharisha wakikuyu mwakani mwakani msije sema atukuwaambia mapema hata kwenye sekta ya afya usishangae hadi mwakani tukiwa no3 au 4 Africa yaani mambo ni fire hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar na Mwanza/Lake zone imependelewa kwa sababu za kisiasa nadhani nimeeleweka but ni game changer yote ni Tzn,hapo Dom kuna mradi mkubwa zaidi wa kujenga dam ya DOWASA
Awamu ya pili baada ya uchaguzi serikali itupie jicho lake pia kanda ya Nyanda za juu kusini ,kaskazini na Western zone huku tumetelekezwa.Our biggest city mbeya iko jammed sana na traffic tunahitaji 4 lane kutoka mbeya hadi Tunduma na uyole mbalizi bypass bila kusahau airport ambayo huwa haikamiliki over 20 yrs now
Hatuna barabara za kuunganisha mkoa wa rukwa na kigoma,Kigoma na Tabora,Mbeya na Tabora wala Songea na Ifakara/morogoro.
Hizo pesa za kujenga daraja juu ya ziwa zilitosha kumaliza hizo projects za barabara nilizotaja hapo juu,serikali iangalie aina ya vipaombele vyake na impacts zake kwenye uchumi na siasa pia
Hizo projects za barabara kuunganisha mikoa ..zote ziko under construction

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom