Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kah!🤣🤣🤣
20191212_181832.jpg
 
1. hela zinaingia mifukon mwa MPs & Govmnet officials (corruption)
2. Mnalalamikaga nn deni la taifa kuongezea, if it’s beneficial?
kwani hatutumii hizo zinazojengwa na deni? ama kutumia kwa kitu kunabadilika kulingana na financing? hao unaowataja ni wachache ndio wamejinufaishi. Hao wabunge wanakimbilia hadi $100 kwa choo wakati wa kupitisha bills unasema pesa zinaingia mifukoni mwao? Heri ungesema kiwango kikubwa kinaenda kwa brokers. Brokers ndio hao wamejenga majumba na kufungua mabiashara yanayo ajiri watu. Tender huku utapata hata ukiwa na miaka 20 bora una bidii na kujiamini. Popote duniani ni bidii ya mtu wala si vile serikali inatumia pesa especially kama umepata kisomo. Hilo wazo unajaribu kuleta liko outdated
 
So operating without licence? Isn't this the same airline an aircraft tyre sprang out of a landing gear while on the runway n full of PAX!? 😀 😀 😀 🙄

images
the incidents led to the cancellation. Fanya research wewe
 
the incidents led to the cancellation. Fanya research wewe
Silverstone airline is no more in operation!

Silverstone Air to remain grounded a little longer
WEDNESDAY NOVEMBER 20 2019



SILVERSTONE-AIRLINE-CRASH-W.jpg

A plane operated by Silverstone Air skidded off the runway at Wilson Airport in the capital Nairobi on October 11, 2019. PHOTO | COURTESY

In Summary
  • Kenya Civil Aviation Authority grounded its fleet following mishaps.
By PAUL WAFULA
More by this Author
Troubled Silverstone Air will remain grounded until they have discussed and understood the findings of the aviation regulator before resuming operations.

The Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) lifted the suspension of the airlines Dash 8 Series imposed on November 12 after it provided corrective measures as per the requirements of the civil aviation regulations following a comprehensive compliance audit.

However, a source at the airline told the Nation they are yet to get an official communication from KCAA, other than what has been reported in the media.

POSSIBLE DOWNSIZING
“We will first wait and understand what exactly KCAA found during their audit before a decision to resume operations is taken,” he said.

This comes after pressure mounted on the regulator after Silverstone announced plans to sack all its employees after KCAA grounded its fleet.

In an internal communication to its staff, the firm had notified its employees of a possible redundancy exercise on grounds that it was incurring huge losses.

The airlines staff will now have to wait a bit longer to know their fate, but the lifting of the suspension has given them hope of keeping their jobs.

Silverstone Air has enjoyed a steady growth in the last two years and is promising to be the next domestic flight operator in the country taking on Kenya Airways Jambo Jet, Fly540 and a host of other small local airlines.

MISHAPS
Trouble for Silverstone started on October 11, when its aircraft (5Y-IZO) that was departing for Lamu crashed at Wilson Airport. It had five crew and 50 passengers. There were no fatalities. The airline was involved in another incident on October 27 when its other aircraft (5Y-SMT) clipped an EASAX aircraft at the ramp at Wilson Airport.

But the last straw may have come on October 28, when its other aircraft (5Y-BWG) lost a wheel on take-offfrom Lodwar.

The aircraft made an unscheduled landing at the Eldoret International Airport where it had been diverted.

This forced KCAA into action, suspending its from operations.


Silverstone Air to remain grounded a little longer
 
Sanaa yn walikuwa hawatujui vzr walikuwa wanalishana Matango pori kwmb Tz ya Nyerere ndo hii hii ya Magu ss ukweli wameujua na adabu wameshika na soon tu tunaenda kuwatawala kwao
Hii thread imeelimisha sana watu hasa wakenya yale matusi waliokua wakiyatukana sasa yameisha wamebakia Kurusha ngumi za hewani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miradi inayoendelea Dar
I. Dar es salaam metropolitan project (DMP) $300mln
ii. $ 159 man 20.3 km DART Phase II Gerezani-Mbagala with 2 flyovers
iii. Ubungo flyover
iv. 19 km 8-12 lanes Kimara-Kibaha highway with 3 flyovers
v. $50 mln Dar Bus Terminal
vi. Dar modern Abbatoir
viii. $400mln Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP)
ix. $126 mln Selander Bridge with 2 flyovers at both ends

Miradi inayoendelea Dodoma
i. Ring Road over $200mln
ii.$ 275 mln Msalato Airport
iii. Several government offices plus public facilities bus terminals, central market, ministry offices, state house, vice president office, prime minister office, hospitals, schools, government agencies like ihumwa dry port, Nala trucks parking port, Immigration headquarter, government city complex, EWURA, BOT, NHIF, PSPF, NBS, NHC, NEC, CRB, parastatals NSSF, LAPF, PPF hotel projects by City municipal n parliament, Watumishi housing r not less than $500 mln in total.

Miradi Mwanza
BTW JPM kazindua miradi ya zaidi ya Tshs 800 bln ila ukijumlisha miradi ya upanuzi wa hospitali mbili Seko Toure na ya wilaya ya Nyamagana iliyozinduliwa na Rais Shein na Makamo wa Rais Mama Samia na ule wa Waziri Mkuu Majaliwa wa uwanja wa ndege (cargo, passengers terminals plus runway extension) JPM na serikali yake imezindua miradi isiyopungua $500 mln Mwanza alone! Hapo miradi ya Hospitali ya Mara Kwangwa na ya wilaya ya Chato haijaguswa. Ule uwanja wa Chato pia haujaguswa!











 
Nilisoma mahali kuwa china haitaki na haipendi kuitwa developed country alafu eti kenya inayopokea mikopo na misaada ya chakula kutoka china wanajiita developed country tena bila aibu.


Unaelewa kingereza kwel, duh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom