Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niletee ushahidi kua ni mwaka huu nasubiria๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€


 


So morogoro and tanga ziko dar siku hzi??? Na kumbe ni 11 only

 
Kumbe eleven tu..... jenga la Taifa watu zaidi ya 130 kenya
I though you said haiko??? Kumbe hata hujielewi!! Unataka kusema watu milioni moja ndo uje Mafuriko yapo. Kweli wewe Jinga type
 
I though you said haiko??? Kumbe hata hujielewi!! Unataka kusema watu milioni moja ndo uje Mafuriko yapo. Kweli wewe Jinga type
Mm nimekwambia tafuta floods Tanzania iliou watu zaidi ya 150
 
Unaambiwa hiki wewe unandika hiki,
Mara sijui mna miundombinu mizuri ya kupitisha maji ona sasa namna mvua inavyo waumbua ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Endelea kuleta matukio yaliyopita ili ujifariji na current situation ya muda huu Nairobi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nishakuletea thibitisho kwamba Dar kulitokea Mafuriko May mwaka huu but you brushed them off saying tuko December. What else do you want? About miundombinu nishawaletea hadi picha za Mafuriko Paris which is a developed City. Having good infrastructure doesn't mean you can't experience such problems
 
Alaf anakuja mjinga hapa anatetea upuuzi wewe floods inaua watu zaidi ya 150 anaona ni kawaida tu

 
Nishakuletea thibitisho kwamba Dar kulitokea Mafuriko May mwaka huu but you brushed them off saying tuko December. What else do you want? About miundombinu nishawaletea hadi picha za Mafuriko Paris which is a developed City. Having good infrastructure doesn't mean you can't experience such problems
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Alaf anakuja mjinga hapa anatetea upuuzi wewe floods inaua watu zaidi ya 150 anaona ni kawaida tu

 
Back
Top Bottom