Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna kitu nilisahau kushare nilipokuwa kwenye trip ya kutembelea mradi wa SGR wiki iliyopita

Kuna eneo baada ya mto Ruvu kunajengwa dry port.. hizi picha hapa chini ni uzio wa eka 60 zimezunguka hilo eneo.. baadae watatanua mpka ziwe eka 120 (phase 1). Lakini jumla ya eneo zima la dry port itakuwa ni eka 500 (baada ya phases zote za ujenzi wa hii dry port kukamilika)

IMG_1575291797.480911.jpg
IMG_1575291822.422304.jpg
IMG_1575291850.207688.jpg
IMG_1575291866.114175.jpg



huu uzio wa seng’eng’e ni sehem ambayo extension ya port itafanyika.. ila uzio wa matofari ndo uzio wenyewe (naamanisha hautabomolewa.. ni fixed)

IMG_1575291884.825451.jpg
IMG_1575291902.214918.jpg


picha nilipiga treni ikiwa inatembea
 
Kuna kitu nilisahau kushare nilipokuwa kwenye trip ya kutembelea mradi wa SGR wiki iliyopita

Kuna eneo baada ya mto Ruvu kunajengwa dry port.. hizi picha hapa chini ni uzio wa eka 60 zimezunguka hilo eneo.. baadae watatanua mpka ziwe eka 120 (phase 1). Lakini jumla ya eneo zima la dry port itakuwa ni eka 500 (baada ya phases zote za ujenzi wa hii dry port kukamilika)

View attachment 1279385View attachment 1279387View attachment 1279389View attachment 1279390View attachment 1279391View attachment 1279392

picha nilipiga treni ikiwa inatembea

huu uzio wa seng’eng’e ni sehem ambayo extension ya port itafanyika.. ila uzio wa matofari ndo uzio wenyewe (naamanisha hautabomolewa.. ni fixed)
View attachment 1279401
Sema tu swahiba wako alisahau kukutumia jomba ndipo ukamkumbusha leo akakutumia whatsapp...

Hapa lazima povu litamwaika sana
 
Back
Top Bottom