Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Leo ndo hamtaki BRT ilikuwaje hadi mkapaka lipsticks kwa road!!..au mlikuwa katika panic mode!Hata kabla ya express way hawajai leta kitu iko level ya Outerring road, leave alone Thika Road. Watakuambia hakuna BRT na matofali 😂 😂 Mambo ya bara bara wapatie miaka 50 ama zaidi ndio wakuwe na ile tuko nayo kwa sasa. Saizo tutakuwa na shugli zingine kama kujenga Mombasa na Nakuru. In fact hiyo BRT itakuwa Mombasa earlier than Nairobi. Sisi tungoje commuter na light rail.
View attachment 1278594
View attachment 1278567
View attachment 1278574
View attachment 1278577
View attachment 1278592
View attachment 1278583
View attachment 1278597


