komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Duh!!lagos ipi hyo, yani lagos nao ni mjiCz mwakani hatutakuwa na hii Battle ya Nairobi vs DSM tutaanza kuwachokoza Wanaigeria tuwe na Lagos vs Dsm uku tutabadilisha itakuwa Nairobi vs Mwanza![]()



Noma mzee, bomba kama hizi hawana namna inabidi waje kununua Tz, tofauti na hapo inabidi waende Japan au China wakagongwe pesa ndefu.noma mkuu. thanks kwa kuniwezesha kuijua hii kampuni
Hapa ni uhalisia kabisa hakuna filtersNairobi WestView attachment 1271226
Kwanza lagos ovyo bora hata Nairobi mwambie huyo jamaa aende YouTube labda aseme mwakani itakuwa dar vs kenyaUsitafute ugomvi usio na kichwa wala miguu. Jua historia ya mabishano humu ndani kwanza! Mwanzoni kulikuwa hamna haya mpaka wazee wa Kibera walipoingia humu na majigambo yao!
Leo nimekuunga mkono chizi mwenzanguDuh!!lagos ipi hyo, yani lagos nao ni mji![]()
Wenyewe wanigeria walijisahau wakawa wanasifia lagos bila kujua miji mingine Africa hivi majuzi ndiyo wamefumbuka macho na kutambua kuwa wapo nyuma sana hadi wameanza kuitusi serikali yaoDuh!!lagos ipi hyo, yani lagos nao ni mji![]()
Kawambie wa nigeria ndio utaona...Wenyewe wanigeria walijisahau wakawa wanasifia lagos bila kujua miji mingine Africa hivi majuzi ndiyo wamefumbuka macho na kutambua kuwa wapo nyuma sana hadi wameanza kuitusi serikali yao
Kumbe ulishaambiwa kuwa usalama ndo ulichangia kwa serikali ya tz kukatisha routeWeeeee!!unamdanganya nani hku wakati mlisingizia usalama kumbe ndio mnatoroka mkulima...
Eti watanzania na wa sauz ni marafiki, mbna muogope kupeleka ndege kule km mlishinda kesi dhidi ya yule mkulima kuhusu fidia yake
Hiyo kazi tumewaachieni nyinyi ya kuwa elimisha nawaona wakenya kule nailand forum watitukanana na wanigeria balaa sisi tunangoja MTU atuanze uchokozi ndiyo tuna mnyosha na ukizingatia 2021 miradi yetu mingi itakuwa imekamilikaKawambie wa nigeria ndio utaona...
Lagos wao huiona km london, we wajua au wawasikia wale jamaa
Swadakta hatuna hulka ya kujitamba watu waliingia humu wakaanza ujinga wa kuleta dharau!Kwanza lagos ovyo bora hata Nairobi mwambie huyo jamaa aende YouTube labda aseme mwakani itakuwa dar vs kenya
😁 😁 😁Noma mzee, bomba kama hizi hawana namna inabidi waje kununua Tz, tofauti na hapo inabidi waende Japan au China wakagongwe pesa ndefu.
Yeah, sioni tofauti na GobaHapa ni uhalisia kabisa hakuna filters
Ila ile forum iko hovyo sanaHiyo kazi tumewaachieni nyinyi ya kuwa elimisha nawaona wakenya kule nailand forum watitukanana na wanigeria balaa sisi tunangoja MTU atuanze uchokozi ndiyo tuna mnyosha na ukizingatia 2021 miradi yetu mingi itakuwa imekamilika