Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Big Boys of Africa
FB_IMG_15745385969543586.jpeg
 
Acha na kunyaland huyo jibu analo ila ni kiburi tu ndo kinamfanya hasielewe
Wewe msaidie, mlishinda kesi kuhusu nn?
Kw ajili aiachie ndege au yeye kutolipwa hela zake...

Km ingelikua mahakama ya ssuzi imeruhusu msimlipe basi sai safari za jozi zingeliendelea km kawa..
 
Wewe msaidie, mlishinda kesi kuhusu nn?
Kw ajili aiachie ndege au yeye kutolipwa hela zake...

Km ingelikua mahakama ya ssuzi imeruhusu msimlipe basi sai safari za jozi zingeliendelea km kawa..
Huyo mkulima ni alishindwa kesi ndo maana ndege ikaachiwa kule SA na hivyo hivyo atashindwa tena kesi huko canada na ndege itakuja bongo
 
Back
Top Bottom