Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20191124_181700.jpg
 
Bado wanatumia miundombinu ya mkoloni wanna miaka 50 na kitu toka uhuru

Mpaka nimeona aibu!! Sasa hapo si watu wanakunywa kutu!! Huku watu tunapata maji safi na salama bila shortages za aina yoyote. Ukienda Nairobi kutumia shower sahau labda ufanye mipango mingine. Wengi humu wanajimwagia maji kwa kopo

Compare and contrast na hizo kutu za Nairobi.
images-29.jpeg
images-36.jpeg
 
Mpaka nimeona aibu!! Sasa hapo si watu wanakunywa kutu!! Huku watu tunapata maji safi na salama bila shortages za aina yoyote. Ukienda Nairobi kutumia shower sahau labda ufanye mipango mingine. Wengi humu wanajimwagia maji kwa kopo

Compare and contrast na hizo kutu za Nairobi.View attachment 1271417View attachment 1271418
Plasco kiboko...kusini mwa jangwa la Sahara ni Tanzania tu na SA unaweza pata vitu quality kama bomba hizo.
 
Mpaka nimeona aibu!! Sasa hapo si watu wanakunywa kutu!! Huku watu tunapata maji safi na salama bila shortages za aina yoyote. Ukienda Nairobi kutumia shower sahau labda ufanye mipango mingine. Wengi humu wanajimwagia maji kwa kopo

Compare and contrast na hizo kutu za Nairobi.View attachment 1271417View attachment 1271418
Wanajitamba majengo marefu! Ingia vyooni ni mwendo wa mizigo isiyokuwa flushed! Nairobi the World flying toilet capital! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Plasco kiboko...kusini mwa jangwa la Sahara ni Tanzania tu na SA unaweza pata vitu quality kama bomba hizo.
Wanajitamba majengo marefu! Ingia vyooni ni mwendo wa mizigo isiyokuwa flushed! Nairobi the World flying toilet capital!
Hizo bomba kipindi zina tandazwa zilikua zimelazwa pembeni mwabarabara. Ilibidi siku moja nikazishangae ukubwa wake maeneo ya Boko, nilitembea ndani ya bomba bila kuinama! Hapa nina urefu wa futi 5! Kuuliza mafundi wananiambia mabomba yanatengenezwa hapa hapa.

Siku hizi hii pressure ya maji imekuwa kubwa mpaka tunapata hasara ya mabomba kupasuka, inabidi usiku tuwe tunafunga au kwenye mita unafungua kidogo. Ata kuosha gari car wash utake mwenyewe, unakua na mpira wako una spray tu mimaji kutoka bombani dakika 10 nyingi gari ina ng'aa.
 
Back
Top Bottom