Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wachache wenye akili sio hawa wa jf
Screenshot_2019-11-24-21-09-29.jpeg
Screenshot_2019-11-24-21-06-28.jpeg
Screenshot_2019-11-24-21-05-33.jpeg
 
Cz mwakani hatutakuwa na hii Battle ya Nairobi vs DSM tutaanza kuwachokoza Wanaigeria tuwe na Lagos vs Dsm uku tutabadilisha itakuwa Nairobi vs Mwanza
Usitafute ugomvi usio na kichwa wala miguu. Jua historia ya mabishano humu ndani kwanza! Mwanzoni kulikuwa hamna haya mpaka wazee wa Kibera walipoingia humu na majigambo yao!
 
Hizo bomba kipindi zina tandazwa zilikua zimelazwa pembeni mwabarabara. Ilibidi siku moja nikazishangae ukubwa wake maeneo ya Boko, nilitembea ndani ya bomba bila kuinama! Hapa nina urefu wa futi 5! Kuuliza mafundi wananiambia mabomba yanatengenezwa hapa hapa.

Siku hizi hii pressure ya maji imekuwa kubwa mpaka tunapata hasara ya mabomba kupasuka, inabidi usiku tuwe tunafunga au kwenye mita unafungua kidogo. Ata kuosha gari car wash utake mwenyewe, unakua na mpira wako una spray tu mimaji kutoka bombani dakika 10 nyingi gari ina ng'aa.

noma mkuu. thanks kwa kuniwezesha kuijua hii kampuni
 
Kusitisha safari ni maamuzi ya serikali na hata siku moja huwezi mpangia mtu route

Think twice na hata hiyo ndege iliyokamatwa itarudi mjengoni
Weeeee!!unamdanganya nani hku wakati mlisingizia usalama kumbe ndio mnatoroka mkulima...

Eti watanzania na wa sauz ni marafiki, mbna muogope kupeleka ndege kule km mlishinda kesi dhidi ya yule mkulima kuhusu fidia yake
 
Back
Top Bottom