😂😂😂😂
Lile zoba lililokuwa linadai hakuna transmission line liko wapi?
😂😂😂😂😂😂Wazee wa "kidhungu"! Aisee hanichomi sindano mtu humo ndani! Ita yule fala wetu anayedai wanajua lugha ya malkia! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😀
Ohhh sisi tuna GDP kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
Port of dar imekua tishio kubwa sana kwa bandari ya mombasa na sasa hvi ndio tumerahisisha kazi zaidi na zaidi na tumeboresha miundo mbinu vzr kabisa yani watatoa povu mpaka yesu ashuke😆😆😆
Bado kuna deni la mchina kwenye another white elephant project inaitwa lamu port 😆😆 yani wanakumbilia kuingia kwenye mikopo mikubwq sana wanasahau ethiopia kashaekeza billions of money djebout kuboresha transportation in and out ethiopiaWapunguzieni dose hawa majirani zetu maana hali yao sio nzuri kabisa. Na vile wakiona Tz mambo yanavyokwenda ndio wanachanganyikiwa kabisa na kukosa matumaini.
Tuwaombee kwa muweza wa yote ya ulimwengu huu awavushe uchaguzi ujao maana hali sio shwari. Madeni, rushwa n.k kule Mombasa wamelaza Mtu hosii kwa figisu hizi hizi...japo nae alijaribu kujimwambafai na kumuita mzee obasanjo hadi kwa bed hosii Mombasa but bado mambo si shwari.
Huko south tena mradi wao wa makaa ya mawe umetupwa kabisa hivyo ni kilio na maumivu baada ya kutoswa na AfDB. Bado US na China wanawachezea kwenye hiyo express way...dah jumlisha Chinese class One to no where...kwa kweli it's a total failed state.
UK alikuta Deni ni trillion 1.3, hadi Sasa Deni limefika trillion 6! Cha maana alichofanya hakuna.
Tunapiga kata funuaPort of dar imekua tishio kubwa sana kwa bandari ya mombasa na sasa hvi ndio tumerahisisha kazi zaidi na zaidi na tumeboresha miundo mbinu vzr kabisa yani watatoa povu mpaka yesu ashuke😆😆😆
Na majuzi walionywa kuhusu Tanga port 😂😂😂 kuna tweet ililetwa humu.Port of dar imekua tishio kubwa sana kwa bandari ya mombasa na sasa hvi ndio tumerahisisha kazi zaidi na zaidi na tumeboresha miundo mbinu vzr kabisa yani watatoa povu mpaka yesu ashuke😆😆😆