Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daraja la kawe Bondeni - Kenya mna cable bridge ngapi? 😛

Screenshot_2019-11-14 Nipashe Tanzania on Twitter.png

Source Nipashe.
 
Wapi ur madoido? Never built Likoni bridge? 🤣 🤣
Jibu swali kijana wacha kuweweseka. Are those cables part of structural engineering kwenye hiyo footbridge? What are they anchoring? Ama Mwenzako alitaka tu tujue that finally Dar has footbridges!!! 😂 😂
 
Jibu swali kijana wacha kuweweseka. Are those cables part of structural engineering kwenye hiyo footbridge? What are they anchoring? Ama Mwenzako alitaka tu tujue that finally Dar has footbridges!!! 😂 😂
Foot bridge ziko nyingi Tanzania if I recall Manzese footbridge was during Mkapa's era!
 
Wakuu hawa jamaa yapi merkez wanajenga overpass ya aina gani pale buguruni kwa bakhresa,maana kila nikichunguza sipati jibu,jinsi zile pillars zilivyopanda juu sana,jinsi zilivyopangwa.. mwenye kujua au mwenye render atuweke sawa wadau
 
Foot bridge ziko nyingi Tanzania if I recall Manzese footbridge was during Mkapa's era!
There's a time mlikuwa mkihesabu footbridges za Dar kwenye huu uzi na hazikufika hata kumi. Sasa sehemu zingine za Tanzania zitakuwaje nyingi wakati Dar, your main city, ndio ziko chache?
 
There's a time mlikuwa mkihesabu footbridges za Dar kwenye huu uzi na hazikufika hata kumi. Sasa sehemu zingine za Tanzania zitakuwaje nyingi wakati Dar, your main city, ndio ziko chache?
Footbridge nyingi Ni mapambo au?
 
Back
Top Bottom