Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Golden hour in Dar
1573804567477.png



1573804623878.png

Mydaressalaam
 
Wapunguzieni dose hawa majirani zetu maana hali yao sio nzuri kabisa. Na vile wakiona Tz mambo yanavyokwenda ndio wanachanganyikiwa kabisa na kukosa matumaini.

Tuwaombee kwa muweza wa yote ya ulimwengu huu awavushe uchaguzi ujao maana hali sio shwari. Madeni, rushwa n.k kule Mombasa wamelaza Mtu hosii kwa figisu hizi hizi...japo nae alijaribu kujimwambafai na kumuita mzee obasanjo hadi kwa bed hosii Mombasa but bado mambo si shwari.

Huko south tena mradi wao wa makaa ya mawe umetupwa kabisa hivyo ni kilio na maumivu baada ya kutoswa na AfDB. Bado US na China wanawachezea kwenye hiyo express way...dah jumlisha Chinese class One to no where...kwa kweli it's a total failed state.

UK alikuta Deni ni trillion 1.3, hadi Sasa Deni limefika trillion 6! Cha maana alichofanya hakuna.
Mipasho.com
 
Bado kuna deni la mchina kwenye another white elephant project inaitwa lamu port [emoji38][emoji38] yani wanakumbilia kuingia kwenye mikopo mikubwq sana wanasahau ethiopia kashaekeza billions of money djebout kuboresha transportation in and out ethiopia
Heheeeee..lamu port tulikopa china shingapi
 
Afu wakenya wa huku wanajifanya hawaelewi. Wenzao wanalia kbsa [emoji23][emoji1421]

Sema hii ngoma ya Nandy na Harmonize ndo kali kuliko zote
View attachment 1263569
View attachment 1263570
View attachment 1263571
Hawajui chochote hao kinachoendelea tanzania...wanafanya kumskia kwenye medias tu wakati anapambwa...

Kuna vitu huaga nikiwaonyesha wanagu wanashtuka, huaga hawaamini kabisa km ni yule magu anayesifiwa mitandaoni...nimeshawatoa matongo tongo wengi sana...
 
Back
Top Bottom