Is kenya a developed country?!!!😂😂😂😂A better life.
The more developed a country is, the more you pay to maintain your standard of living.
Kakamega hakuwezi kuwa na shida ya maji. Sema kitu ingine lakini sio majiSo hiyo picha inayoonesha mtoto anakunywa maji machafu sio kakamega
Watu kama wewe ni wa kupuuzwa. Wacha tu nijifanye mjinga ninyamazeUnajitahidi kukwepa ukweli lakini huwezi trust me😁😁😁😁😁
Hivi kuna aliye bisha au ni kiswahili kimekuwa lugha ngumu?
Niliuliza hapo juu vitu unavyoweza kufanya kwa pesa hiyo nashaangaa unarefusha mambo badala ya kujibu,
You guys kila kitu huwa mnafanya mashindano.
Is kenya a developed country?!!!![]()
Grow up,Dhamira yako ya kuleta huo mfano si ni ubishi tu..kwn una jipya
Ujanijibu bado swali langu.narudia kuuliza kuwa hiyo pcha iliyotumwa inamaanisha sio kakamegaKakamega hakuwezi kuwa na shida ya maji. Sema kitu ingine lakini sio maji
What shows it's Kakamega?Ujanijibu bado swali langu.narudia kuuliza kuwa hiyo pcha iliyotumwa inamaanisha sio kakamega
Grow up,
Usipende kuweka ubishi mashindano pasipo hitajika.
Stability ni kitu tofauti...it means tumeweza ku maintain..nyie kuwa negative kwa % 1 ina affect sana mkenya wa huko.... sio swala la ku compare na Tz ..
Nakumbuka . mwaka huu huu ksh ilikuwa ina trade 1 usd 99ksh-100ksh now iko 103.5ksh ..in short mko volatile sana
Heheh leta official link kua kenya ni developed country 😂😂😂😂😂😂 naona kichaa kimekupandaA better life.
The more developed a country is, the more you pay to maintain your standard of living.
hii kitu Tier III kenya waliitamba nayo, sasa tunayo kupitia Tigo... na kuna ile nyingine ya TTCL sijui (i’m not sure who owns the other one)
Embu fuatilia reply za juu uone ni wapi pamebishwa,Endelea kupindisha mada tu...
Najua utajisahau utakuja tena na story za tsh 2300...utajisahau tu, kwn hii ni mara ya kwanza..
Angalia NICTBB ya Tanzania na Uganda halafu angalia ya Kenya! Cha ajabu jamaa wanadai internet penetration ni 100% Kenya