Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwani air tanzania ndio inajua south africa kuna machafuko
air tz ilipe madeni waache ujinga
na Fastjet daily inaenda S.A kutoka Dar. Hizo ndege kubwa nimeshinda nikiwaeleza si viable Africa and they'll be surprised Air Uganda ikiwapita. Hata Precision Air hawataezana nayo 🤣 🤣
 
Watu wa socialism hawa hawaelewi haya maneno. Nowanda everything is slow in Dar. Life in Nairobi or any major town in Kenya is no doubt expensive especially when it comes to owning property. However, those challenges have encouraged creativity and more hard work. In fact, it is the secret to a vibrant private sector and entrepreneurial culture. Only the lazy ones will argue otherwise. Even at the end of the day hata kwa hiyo socialist mentality yao there's someone who'll benefit and it's not the citizens. It's those government contractors and the people who get kick backs from government projects. So you're actually being taken for a ride in the name of being your brothers keeper. Hapa what brings us together is to find solutions for the future not laziness. Naeza ungana na watu 20, we buy some prime land then split according to shares bought or build or just let it appreciate; something that most people can't afford across the world when they try alone. Wakisema shareholders are getting just a token nashangaa kwani wantaka tugawane equally sisi wote yet our investment is different? they forget you are only supposed to reap what you sow. He's talking like shares aren't assets or they don't return profits. They better read stories of Unaitas, Cytonn etc and learn that it's a win-win thing. Am a beneficiary of those saccos. Aside from that there are chamas (micro-savings group) which are changing lives of illiterate Kenyans in rural areas. I hate using Wikipedia but here's an overview of what they are about and their contribution to our GDP https://en.wikipedia.org/wiki/Chama_(investment)

Afu don’t get it twisted we have both elements of socialism and capitalism in Tanzania. Ndo maana kuna private institutions sectors na ninyingi kuliko public institution sectors 😂😂.. Kenyans Nawaoneaga sana huruma.. ivi mnathani kuna vitu gani mna fanya ni vpya kwetu 😂...
 
Huh!! i know you think you are funny and I don’t blame you but your incoherent, rabid juvenile answer is so ridiculously uneducated, spectacularly unhinged, desperately delusional that out of compassion, it must be forgiven and ignored, “I wish you could relieve yourself in a plate, turn around and see what you are made of.
 
1. Corruption is an alien word in Tanzania. It has never existed there 😂
2 Crime. Tanzania is hevean on earth where crime is a foreign word. Congratulations! 😂
3. Nepotism. This is another vice that is not known in Tanzania, and has never existed there. Wow!
5. Land injustice. Well, Tanzanians don't even lease land from their own government. Everyone there is a landowner for life! WTF! 😂
6. slums. This is the most interesting part. You see, Tanzania is a third world country but it has managed to keep slums out of its cities. How do they do even do this? Even those corrugated iron sheets that cover 3/4 of Dar are dream houses. And they are very proud of them 😂 😂
9. Unemploymen. You see, everyone in Tanzania is employed, even these ones that spend a half of their day in this forum are employed. They are employed but the most amazing part is that 70% of them live on less than a dollar a day. Are they paid mandazis? 😂 😂 😂
Failed state. Tanzania is a robust economy but development taking place only in their dreams. Of course they are not a failed state, they are just an LDC that is really struggling 😂 😂

Eti tumekua employed afu tuna ishi under a dollar.. kwaio wana tu lipwa 20 cents au 😂😂😂😂😂 nicxie Niaje aisee mbona muongo hvyooo ... yani nakuona una tema pumba tuu😂😂😂😂😂😂 aisee we basi tena.. I think you’re on drugs 😂😂😂😂 sio kwa pumba unazo zitema huku jamiiforum.. afu apa sija amua ata kuongelea mambo mengine uliyo ongelea apo kama crime.. crimes are every where lakini wana angalia major crime events😂😂 unathani anaongelea kuiba kuku au?
 
Huh!! i know you think you are funny and I don’t blame you but your incoherent, rabid juvenile answer is so ridiculously uneducated, spectacularly unhinged, desperately delusional that out of compassion, it must be forgiven and ignored, “I wish you could relieve yourself in a plate, turn around and see what you are made of.
Kingereza kingi kumbe unalala Kwa kinyesi kama nguruwe
 
Afu don’t get it twisted we have both elements of socialism and capitalism in Tanzania. Ndo maana kuna private institutions sectors na ninyingi kuliko public institution sectors 😂😂.. Kenyans Nawaoneaga sana huruma.. ivi mnathani kuna vitu gani mna fanya ni vpya kwetu 😂...
Shida twauliza, kama system yenu yanfanya kazi, mbona hamko ligi ya China na Singapore? mbona slums kando ya CBD? mbona kaka zetu wa Ethiopia wanawaonyesha kivumbi? Kwa sababu clearly our capitalism made us lead the region
 
Hiyo ATCL kwanza ibishane na Fly540, Precision Air (subsidiary ya KQ) and Fastjet kabla wafikirie kupingana na KQ ambayo bado inatesa hata ikiwa ICU
 
Hehehhe wana wivu wakijinga sana hua hawataki kuona tanzania ikiendelea🤣🤣 tena wasubiri december ziningia ndege 2 brand new
Bombadier q400
Boeing 787 dream liner
Wacha wabaki na zao chakavu 😂😂😂
 
Kiingereza kiiingiii Halafu pumba tupu.
Wakenya nawashangaaga
NIKUZODOE KWANZA MAANA NAONGEA NA MPUMBAVU.
ULIKUA UKIBISHA KUWA JAPAN SIO TAIFA LA TATU DUNIANI KWA UCHUMI MKUBWA EBU TIZAMA HYO GRAPH HAPO CHINI.
YANI BADALA ULETE USHAHIDI WA GREAT ECONOMY UNALETA DATA ZA POWERFUL NATIONS INTERMS OF MILITARY.

EBU ANGALIA UJITOE UJINGA MWANAHARAM WW KIINGEREZA KINGI BICHWA MAJI.
View attachment 1226559
I am so ashamed that we share a continent with such retarded people..and more so a region...where did you get your education? are you even serious to try and save face out of shame,whoever you are or whatever you are please remind yourself that it is ok to be stupid because you are so...Qatar,Luxembourg and singapore are the richest countries in the world measured in GDP per capita(please familiarize yourself the meaning of GDP)..and this mister is free information in google..Japan is the third largest economy in the world meaning the amount of money circulating in a country and the strength to keep running the economy,that doesn't make them third richest..Japan is the seventh most powerful nation on earth militarily due to the size of the army and the weapons..for heaven's sake do you have to be a rocket scientist to know this?..and by the way try to use a little bit of common sense when you are dealing with smart people like Kenyans because they usually do their homework before they post anything...Ngome hii!!!
 
1. Corruption is an alien word in Tanzania. It has never existed there 😂
2 Crime. Tanzania is hevean on earth where crime is a foreign word. Congratulations! 😂
3. Nepotism. This is another vice that is not known in Tanzania, and has never existed there. Wow!
5. Land injustice. Well, Tanzanians don't even lease land from their own government. Everyone there is a landowner for life! WTF! 😂
6. slums. This is the most interesting part. You see, Tanzania is a third world country but it has managed to keep slums out of its cities. How do they do even do this? Even those corrugated iron sheets that cover 3/4 of Dar are dream houses. And they are very proud of them 😂 😂
9. Unemploymen. You see, everyone in Tanzania is employed, even these ones that spend a half of their day in this forum are employed. They are employed but the most amazing part is that 70% of them live on less than a dollar a day. Are they paid mandazis? 😂 😂 😂
Failed state. Tanzania is a robust economy but development taking place only in their dreams. Of course they are not a failed state, they are just an LDC that is really struggling 😂 😂
Tuletee link yenye list ya majiji Hatari kuishi Africa,
Tuletee Link yenye list ya nchi zilizowekwa kwenye kundi la failed states,
Tuletee link yenye list ya nchi zenye unemployment rate kubwa,
Tuletee link ya rank za nchi zenye corruption sana,
Tuletee link yenye top slums in Africa ( kwa hapa fanya hivi, nenda Google Map alafu search slums in Dar kisha search tena slums in Nairobi kisha zilete hizo screenshot hapa)
😂😂😂
 
Shida twauliza, kama system yenu yanfanya kazi, mbona hamko ligi ya China na Singapore? mbona slums kando ya CBD? mbona kaka zetu wa Ethiopia wanawaonyesha kivumbi? Kwa sababu clearly our capitalism made us lead the region

Due to strong leaders ndo ime ifanya china na Singapore kuwepo walipo saivi .. wame wa pata hao leaders kitambo. Sisi tume mpata wetu juzi tu apa na it has only been 4 yrs we have 8 planes zote ni zetu.. sio mkopo zile😂 kama kwa wenzetu na sisi, project za barabara kila kukicha, treni ya umeme, hospitalini karibia 500 ziime jengwa .. project za maji kila kukicha na nyingine zishaisha, umeme ndo isha anza huko nyerere dum.. kuta kuwa na Excess ya umeme waku uza ata njee ya nchi, visima vya gesi na mafuta vime sha gunduliwa ni wanatufuta mbinu mbadala ya kutunufaisha watanzania zaidi, tourism is sky rocketing, saivi tuna safisha madini yetu wenyewe, free education from primary to secondary school, viwanda vinajengwa kila siku bagamoyo huko.. watu wana shindana.. na mengine mengi and it’s all in 4 FUCKING YEARS...😂😂😂.. watu wana tu admire sasa ivi nchi jirani wanatusifia kwa maendeleo yanayo onekana kila kona ya tanzania .. afu wakenya ndo mna leta jeuri 😂😂😂😂😂 .. na bado mamamaeee
 
Capitalism is the main cause for
1)Tribalism
2)Corruption
3)Crime
4)Nepotism
5)Land injustice
6)Slums
7)Big gap between rich and poor
8)Ruthless economy
9)Unemployment
10)Failed state

tanzania with ujamaa kenya with capitalism which country is better in quality of life and hdi
history will that socialism or communism or ujamaa has never worked
tanzania is capitalist country too
 
I am so ashamed that we share a continent with such retarded people..and more so a region...where did you get your education? are you even serious to try and save face out of shame,whoever you are or whatever you are please remind yourself that it is ok to be stupid because you are so...Qatar,Luxembourg and singapore are the richest countries in the world measured in GDP per capita(please familiarize yourself the meaning of GDP)..and this mister is free information in google..Japan is the third largest economy in the world meaning the amount of money circulating in a country and the strength to keep running the economy,that doesn't make them third richest..Japan is the seventh most powerful nation on earth militarily due to the size of the army and the weapons..for heaven's sake do you have to be a rocket scientist to know this?..and by the way try to use a little bit of common sense when you are dealing with smart people like Kenyans because they usually do their homework before they post anything...Ngome hii!!!
Unaona ulivyo hutumii akili sasa???
Jamaa na hivi viingereza vyenu mnakwama wapi???
Kuna Nominal GDP na GDP per capita.
Nominal GDP ni kipimo cha mataifa yenye uchumi mkubwa .
GDP per capita ni kuchukua the nation GDP na kuigawanya na idadi ya watu.
Hata USA ni wa 13 ktk richest nations according to GDP per capita.
Ila ukija ktk masuala ya Nominal GDP USA ni economic power of the world ikifuatiwa na China na Japan.
Na uchumi unapimwa na vitu vingi ikiwemo importation and exportation.
Ebu waweza nambia hiyo Qatar na Luxembourg wana export vipi vya maana hapa worldwide kuizid Japan ama China ama USA??
Manufactured goods kibao dunia inatumia vya USA,China na Japan hayo mataifa mengine yanafuata.
Nominal GDP zao za kawaida zimegawanywa na kulingana na wao kuwa na idadi ndogo ya watu imechangia wao kuwa na per capita kubwa kuliko mataifa mengine.
Ila ichukue Nominal GDP ya Qatar km inafikia hata nusu ya Japan.
Sijui kama unafaham vema kuhusu GDP??
Maana una generalize tu hapa.
 
Due to strong leaders ndo ime ifanya china na Singapore kuwepo walipo saivi .. wame wa pata hao leaders kitambo. Sisi tume mpata wetu juzi tu apa na it has only been 4 yrs we have 8 planes zote ni zetu.. sio mkopo zile😂 kama kwa wenzetu na sisi, project za barabara kila kukicha, treni ya umeme, hospitalini karibia 500 ziime jengwa .. project za maji kila kukicha na nyingine zishaisha, umeme ndo isha anza huko nyerere dum.. kuta kuwa na Excess ya umeme waku uza ata njee ya nchi, visima vya gesi na mafuta vime sha gunduliwa ni wanatufuta mbinu mbadala ya kutunufaisha watanzania zaidi, tourism is sky rocketing, saivi tuna safisha madini yetu wenyewe, free education from primary to secondary school, viwanda vinajengwa kila siku bagamoyo huko.. watu wana shindana.. na mengine mengi and it’s all in 4 FUCKING YEARS...😂😂😂.. watu wana tu admire sasa ivi nchi jirani wanatusifia kwa maendeleo tanayo onekana kila kona ya tanzania .. afu wakenya ndo mna leta jeuri 😂😂😂😂😂 .. na bado mamamaeee
It's good to be positive and I like your attitude. Nawatakia kilalaheri. Lakini makosa mnaofanya ni kuongea bila data and disputing any data given which is immature for lack of a better word. Najua hujatembea Kenya hata siku moja. Wakati utatembea hapa utajua mbona sisi hupiga kifua
 
Unaona ulivyo hutumii akili sasa???
Jamaa na hivi viingereza vyenu mnakwama wapi???
Kuna Nominal GDP na GDP per capita.
Nominal GDP ni kipimo cha mataifa yenye uchumi mkubwa .
GDP per capita ni kuchukua the nation GDP na kuigawanya na idadi ya watu.
Hata USA ni wa 13 ktk richest nations according to GDP per capita.
Ila ukija ktk masuala ya Nominal GDP USA ni economic power of the world ikifuatiwa na China na Japan.
Na uchumi unapimwa na vitu vingi ikiwemo importation and exportation.
Ebu waweza nambia hiyo Qatar na Luxembourg wana export vipi vya maana hapa worldwide kuizid Japan ama China ama USA??
Manufactured goods kibao dunia inatumia vya USA,China na Japan hayo mataifa mengine yanafuata.
Nominal GDP zao za kawaida zimegawanywa na kulingana na wao kuwa na idadi ndogo ya watu imechangia wao kuwa na per capita kubwa kuliko mataifa mengine.
Ila ichukue Nominal GDP ya Qatar km inafikia hata nusu ya Japan.
Sijui kama unafaham vema kuhusu GDP??
Maana una generalize tu hapa.

Wakenya wanajidai wasomi lakini wapi 😂😂😂😂.. kitukimoja wanacho julikana ni kwa uwongo na kujisifia vitu ambavyo havipo..
 
Back
Top Bottom