Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Hatuwezi jenga takatakaNingekubali hivo Ila nimekumbuka hata moja hamna.
Hatuwezi jenga takatakaNingekubali hivo Ila nimekumbuka hata moja hamna.
It's good to be positive and I like your attitude. Nawatakia kilalaheri. Lakini makosa mnaofanya ni kuongea bila data and disputing any data given which is immature for lack of a better word. Najua hujatembea Kenya hata siku moja. Wakati utatembea hapa utajua mbona sisi hupiga kifua
Baba usisaha “after a break of 12 years “ kuna mtu alisema Kenya Airways haikawahi kua na route za somalia. Sasa ndo tuku ulize wewe kingereza ndo lugha yenu ya kwanza jee unakielewa kweli ?😂😂😂😂😂😂😂 afu narudia tena na tena acheni 😂😂. Ata hvyo sito acha kuambia
Unaongelea ndege za kukodi na kupata hasara daily au
jambojet flies to somalia not kenya airways
https://www.routesonline.com/news/3...ways-schedules-mogadishu-service-in-dec-2018/
ichoboy and tunna05 open that link read it and stop being blockheads
ic
Mimi huwashangaa sana hawa watu.Wakenya wanajidai wasomi lakini wapi.. kitukimoja wanacho julikana ni kwa uwongo na kujisifia vitu ambavyo havipo..
leasing is better that buyingUnaongelea ndege za kukodi na kupata hasara daily au
Nyinying nyiny nyenya nyan nyaying,leasing is better that buying
succeful airlines in the world lease planes not buying
Hatusemi Kenya Airways flies to somalia but you used to 12 years ago.. kuna mkenya mwenzenu alizama huku kichwa kichwa aka sema Kenya Airways haija wahi kwenda somalia.. ndo tatizo letu lika anzia apo
It will take the years for kenyans to build such infrastructure...Morogoro Road/Bibi Titi Mohammed Road Junction ( AKIBA/CBE)View attachment 1226538View attachment 1226539
Hapo sio Dar,hapo ni Amsterdam acheni kupotosha nyie watz...Posta ya zamani BRT bus stationView attachment 1226540
leasing is better that buying
succeful airlines in the world lease planes not buying
S 🐵i see you are pained
go clear atcl debts before it is auctioned
@ babayao255
Hapo sio Dar,hapo ni Amsterdam acheni kupotosha nyie watz...
Hiyo ATCL kwanza ibishane na Fly540, Precision Air (subsidiary ya KQ) and Fastjet kabla wafikirie kupingana na KQ ambayo bado inatesa hata ikiwa ICU
Fine,let us assume that i agree with you(which unfortunately i dont)..log into google and give me the top 10 richest countries in the world assuming that you know how to google...Unaona ulivyo hutumii akili sasa???
Jamaa na hivi viingereza vyenu mnakwama wapi???
Kuna Nominal GDP na GDP per capita.
Nominal GDP ni kipimo cha mataifa yenye uchumi mkubwa .
GDP per capita ni kuchukua the nation GDP na kuigawanya na idadi ya watu.
Hata USA ni wa 13 ktk richest nations according to GDP per capita.
Ila ukija ktk masuala ya Nominal GDP USA ni economic power of the world ikifuatiwa na China na Japan.
Na uchumi unapimwa na vitu vingi ikiwemo importation and exportation.
Ebu waweza nambia hiyo Qatar na Luxembourg wana export vipi vya maana hapa worldwide kuizid Japan ama China ama USA??
Manufactured goods kibao dunia inatumia vya USA,China na Japan hayo mataifa mengine yanafuata.
Nominal GDP zao za kawaida zimegawanywa na kulingana na wao kuwa na idadi ndogo ya watu imechangia wao kuwa na per capita kubwa kuliko mataifa mengine.
Ila ichukue Nominal GDP ya Qatar km inafikia hata nusu ya Japan.
Sijui kama unafaham vema kuhusu GDP??
Maana una generalize tu hapa.
The problem is that you hat losing to Tanzanians.You have been educated and if you don't agree with him walk away because he is utterly right. Oh, and just so you know, Google is just a search engine, it'll bring you all information out there regarding what you need but not all of it is true or reliable.Fine,let us assume that i agree with you(which unfortunately i dont)..log into google and give me the top 10 richest countries in the world assuming that you know how to google...
KQ a.k.a zombieHiyo ATCL kwanza ibishane na Fly540, Precision Air (subsidiary ya KQ) and Fastjet kabla wafikirie kupingana na KQ ambayo bado inatesa hata ikiwa ICU
Faida ioneka sasa 😂😂.. sio una lease afu you running on losses. Acheni kujitete ujinga.. Kenya Airways is a mess