Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah yani inauzunisha nusu ya watu wote nairobi wanaishi kwenye slums halafu kibera are the largest slums in Africa and third in the world


Badilikeni jamani mnatia aibu mpaka huruma poleni
Screenshot_20191005-214851.jpeg
 
Dah yani nimesoma hayo maelezo hadi natamani kulia kwa maana yani watu 500K hadi 1M wanaishi eneo la kibera peke yake na less $1 per day in the nairobi city halafu na washangaa etty wakenya wanawacheka Tz.


Yana mara mia bora hata ya dar kuna uhafadhali kuliko nairobi ni potelea mbali.yani siwezi ishi kwenye jiji lenye slums kubwa africa na ya tatu duniani bora hata uishi mombasa kuliko nairobi lenye slums za kutosha
Screenshot_20191005-211030.jpeg
Screenshot_20191005-211106.jpeg
Screenshot_20191005-211130.jpeg
Screenshot_20191005-210937.jpeg
 
Dah yani nimesoma hayo maelezo hadi natamani kulia kwa maana yani watu 500K hadi 1M wanaishi eneo la kibera peke yake na less $1 per day in the nairobi city halafu na washangaa etty wakenya wanawacheka Tz.


Yana mara mia bora hata ya dar kuna uhafadhali kuliko nairobi ni potelea mbali.yani siwezi ishi kwenye jiji lenye slums kubwa africa na ya tatu duniani bora hata uishi mombasa kuliko nairobi lenye slums za kutosha View attachment 1224595View attachment 1224596View attachment 1224597View attachment 1224598
Hii ndio inasababisha tunaitwa shithole huku Africa. Hapo Nairobi HQ ya ofisi nyingi sasa wazungu wakiwa kwenye skyscrapers wakiangalia chini wanaona slums both sides. Wanaona wakenya wamenyonga tai Ofisini ila jioni anakatiza chochoro kwenda kulala kwenye slums. Sasa wataachaje kuitwa shithole?

Wakenya mnatuaibisha hapa Africa. Haiwezekani tutukanwe wote kisa utitiri wa slums zenyu.
 
Hii ndio inasababisha tunaitwa shithole huku Africa. Hapo Nairobi HQ ya ofisi nyingi sasa wazungu wakiwa kwenye skyscrapers wakiangalia chini wanaona slums both sides. Wanaona wakenya wamenyonga tai Ofisini ila jioni anakatiza chochoro kwenda kulala kwenye slums. Sasa wataachaje kuitwa shithole?

Wakenya mnatuaibisha hapa Africa. Haiwezekani tutukanwe wote kisa utitiri wa slums zenyu.
Yani sio pw majengo mazuri wanaishi wazungu(white man) native wanaishi kwenye slums yaani halafu nawashangaa wanavyotupigia kelele utafikiri wao ni bora sana kuliko wengine
 
Hata a dress ya aliyechora mchoro ipo mtaa wa Mafinga kinondoni Dar , Anyway , Kuna kampuni 12 zimehusika kukamilisha hilo jengo , lakini mtu kakomalia katujengea Kenya ndio imetujengea. Structural engineer, quantity surveyor etc hawajafanya chochote Au sio muhimu hivyo vingefanywa na K&M.

View attachment 1223888
wakenya huwa wana low think capacity
 
what?? nigga, this got you amazed?
ndo mana mna utoto mwingi 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
Hiyo utoto tuko nayo umetuwezesha kuwa na uchumi kubwa kuwaliko, umetuwezesha kuwa na a bigger middle class, hiyo utoto pia ndio chanzo cha wakenya wachache kuishi on less than a dollar a day compared to dangagizans. Niendelee ama nisiendelee?
 
Hiyo utoto tuko nayo umetuwezesha kuwa na uchumi kubwa kuwaliko, umetuwezesha kuwa na a bigger middle class, hiyo utoto pia ndio chanzo cha wakenya wachache kuishi on less than a dollar a day compared to dangagizans. Niendelee ama nisiendelee?
Etty wakenya wachache ndo wanaishi < 1$ yaani huoni hata aibu unabishana na ukweli.wewe kubaliana na hali yenu kuwa ni mbaya sana.wakenya wengi wanaishi < 1$ per day in the nairobi city.kama vipi leta data inayosema wakenya wachache nikupe 10k ksh
 
Hiyo utoto tuko nayo umetuwezesha kuwa na uchumi kubwa kuwaliko, umetuwezesha kuwa na a bigger middle class, hiyo utoto pia ndio chanzo cha wakenya wachache kuishi on less than a dollar a day compared to dangagizans. Niendelee ama nisiendelee?

Don’t speak for the Indians and the whites.. ongelea you’re fellow black kenyans.. jee kuna chochote mna faidi kwenye huo uchumi?
 
Back
Top Bottom