Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa wewe unajua zaidi sio?
Haha konyagi siachi mpaka niishushe ile njemba mikono chini. Halafu nyagi huku ni kitu ya kawaida Sana. Sio huko mnaitukuza Kama cognac ya Ciroc vile..maana mmezoea chang'aa

Back on biz, hizo flats kibera ni mali ya nani? Plus zile nyingine zaidi ya 40+ houses. Niambie zilijengwa kwa mradi upi kama sio huo wa cheap houses. Link niliyokuwekea hapo inayo hadi hayo mapicha yako ya kibera. Serikali inajenga vipi bila kupata Hati kwanza? Au ndio upigaji tu.

Bongo hapa ardhi ni mali ya serikali inajenga popote tu ikiamua. Hizo flat zote hadi serikali ilipe compensation ipate hati najua gharama itazidi hela za kujenga hizo flats. Hence uhuru ataendelea kuwa baba yenyu. Na vile anataka kutengeneza u-putin na u-medvedev na u-kabila na u-tshekedi.. Mpo nae sana huyo.
 
Haha konyagi siachi mpaka niishushe ile njemba mikono chini. Halafu nyagi huku ni kitu ya kawaida Sana. Sio huko mnaitukuza Kama cognac ya Ciroc vile..maana mmezoea chang'aa

Back on biz, hizo flats kibera ni mali ya nani? Plus zile nyingine zaidi ya 40+ houses. Niambie zilijengwa kwa mradi upi kama sio huo wa cheap houses. Link niliyokuwekea hapo inayo hadi hayo mapicha yako ya kibera. Serikali inajenga vipi bila kupata Hati kwanza? Au ndio upigaji tu.

Bongo hapa ardhi ni mali ya serikali inajenga popote tu ikiamua. Hizo flat zote hadi serikali ilipe compensation ipate hati najua gharama itazidi hela za kujenga hizo flats. Hence uhuru ataendelea kuwa baba yenyu. Na vile anataka kutengeneza u-putin na u-medvedev na u-kabila na u-tshekedi.. Mpo nae sana huyo.
First and foremost, you need to understand that the land where kibera stands ni ya serikali. The whole of kibera land belongs to the government. Sasa serikali itapataje Hati kwa kitu ambacho inamiliki?
 
First and foremost, you need to understand that the LA d where kibera stands ni ya serikali. The whole of kibera land belongs to the government. Sasa serikali itapataje Hati kwa kitu ambacho inamiliki?
wewe ni chiziiiii

kwa hiyo kwa huko kenya serikali ikimiliki eneo huwa haina hati,?

Omg,,STUPID KENYAN
 
wewe ni chiziiiii

kwa hiyo kwa huko kenya serikali ikimiliki eneo huwa haina hati,?

Omg,,STUPID KENYAN
Mwenzako aliuliza kama serikali iko na hati ndio maana nikamuuliza kwamba kama ardhi yenyewe ni Mali ya serikali, watokasaje kuwa na hati? That's common sense
 
hakuna unalojya mzee hebu kale githeri kwanza kisha kasome historical indeep vizuri zaidi...

Tz ni nchi yenye ushawishi mkubwa wakimataifa kuliko ninyi kenyan chokoraa
Wewe unayejua mbona hujajinasua kutoka kwenye tope la LDC? 😂 😂
 
Hata Marekani pia walipokea misaada kutoka nchi mbali mbali baada ya hurricane Katrina kuleta maafa makubwa New Orleans (Qatar donated $400m ) kwa hivyo wacha ujinga na ujuaji mwingi.
We kila mwaka unapokea msaada wa chakula tumekuchoka.
Kila mwaka!!!!!!!!!!
 

Huwezi ona nyumba Nzuri kama hii Nairobi

You need to up your game danganyikans. I can show you thousands and thousands of such images from Nairobi but there's no need of going down that road. like I said yesterday, apartments ziko kila mahali Nairobi so I won't even bring those
images (59).jpeg
FetchImage (11).jpeg
869ccaea-7fa5-4afa-99e8-44393aa67e6f.jpg
385214ba-f7cb-44bc-a33b-0c486c19ebc5.jpg
kaputei.jpg
villas-selfie.jpg
IMAG0363.jpg
private-residence-luxury-housing-building-residential-nairobi-architecture-beglinwoods-archite...jpg
I-1170x738.jpg
Tembo_day.jpg
tamarindgardens2.jpg
2cb5060d-db30-41cf-8ac4-9f4304194f64-73 (1).jpg
Greenpark-Estate-Athi-River.jpg
mutigapic.jpg
images (88).jpeg
images(11).jpg
WhatsAppImage20180810at11.22.53AM1170x738.jpg
images(10).jpg
 
Ziko kila mahali kwa sababu ardhi inamililikiwa na wachache
Huku hata vijijini Unakutana nyumba za kifahari na haturingi hata, yaani hadi tandale unakuta nyumba kama hizo ulizopost hapa.
 
What can one expect from a bongolala if not denial?
Somo la kule juu halikukuingia ww?????
Dar hakuna slum kuna ordinary houses zimetapakaa.Hatuna nyumba za mabati km kibela na kariobangi.
 
First and foremost, you need to understand that the land where kibera stands ni ya serikali. The whole of kibera land belongs to the government. Sasa serikali itapataje Hati kwa kitu ambacho inamiliki?
Sasa wewe unajua zaidi sio?
Hati za flats ziko wapi? Au sio za serikali ya Kenya?

Soma link hapa.
 
Back
Top Bottom