Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo la jiji la nairobi kuna vibanda ambavyo ni choka mbaya na viko kwenye unplanned seltement ndo wanataka kushindanisha na jiji la dar huwezi kuta vibanda vya mabati wala mbao ni mwendo wa nyumba za tofari
 
Tatizo la jiji la nairobi kuna vibanda ambavyo ni choka mbaya na viko kwenye unplanned seltement ndo wanataka kushindanisha na jiji la dar huwezi kuta vibanda vya mabati wala mbao ni mwendo wa nyumba za tofari
Bro kuna soko la kariobangi slums qumamaqyeee bro chakula huwez nunua pale.
Jamaa zile pic anasema hilo ni soko la low class settlers wa kariobangi.
Asa me nikajiuliza mbona Dar masoko ya low class mazuri tarmac hadi chocho mathalan Tandika sokoni??
Yan nguruwe akipita anatapika hapo soko la kariobangi.
Asa binadam sijui wana survive kivipi???
 
Bro kuna soko la kariobangi slums qumamaqyeee bro chakula huwez nunua pale.
Jamaa zile pic anasema hilo ni soko la low class settlers wa kariobangi.
Asa me nikajiuliza mbona Dar masoko ya low class mazuri tarmac hadi chocho mathalan Tandika sokoni??
Yan nguruwe akipita anatapika hapo soko la kariobangi.
Asa binadam sijui wana survive kivipi???
dah yan wanatia huruma na kinachonkcheksh zaid n hz nyumba zao za mabati zlzobanana utafk ndz za malindi au mshale
 
Ziko kila mahali kwa sababu ardhi inamililikiwa na wachache
Huku hata vijijini Unakutana nyumba za kifahari na haturingi hata, yaani hadi tandale unakuta nyumba kama hizo ulizopost hapa.
Ile tandale ninayojua ama siku hizi kuna tandale mbili Dar? Halafu sasa umebadlisha goli. Mwanzoni mlisema haziko, sasa tena imekuwa tena ni story za hekaya mara tandale mara vijijini. Bure kabisa! Kwenye Swala la kimakazi, itabidi mjikaze sana kufikia Nairobi
 
Leta ambayo ni ground photograph na sio aerial photograph.
Pia hizo unazoziona sio slums ni ordinary houses.
Ninyi mna slums na ukiangalia maana yake ni poor houses so hamuwezi kulinganisha slums za kwenu na nyumba za dar ambazo ni ordinary house.
Of course they are ordinary houses as per Tanzanian standards
 
Ile tandale ninayojua ama siku hizi kuna tandale mbili Dar? Halafu sasa umebadlisha goli. Mwanzoni mlisema haziko, sasa tena imekuwa tena ni story za hekaya mara tandale mara vijijini. Bure kabisa! Kwenye Swala la kimakazi, itabidi mjikaze sana kufikia Nairobi
Hajasema tandale vijijini soma vizuri then ndo utoe coment yako sio unakurupuka utafikir unakimbizwa
 
Hapo kunajengwa bonge la Beaches mithili ya copacabana, nimeona features zake ni balaa, kutakuwa na waterparks kubwa za kutisha, restaurants, public showers, different sports complexes, parking za kutosha na facilities nyingi
Kuna mtu anajua miradi aliyowahi kufanya huyu Mkandarasi (Tanzania Building Works Ltd),mie nimeona mmoja tu kama sikosei DIT Teaching Tower ambao ulisuasua kipindi flani,CEO yuko very exited mradi kupewa wazawa,safi!, pia ni wakati wake wa kujijenga au kujibomoa miradi hii ya PUBLIC haitaji masihara masihara kbs,wabongo siku hizi tunajua vitu vizuri,kwa period aliyopewa itambidi awe na sub-contractors wakutosha sana hao sub-contractors sasa na wao wafuatiliwe kwa ukaribu kbs uwezo wao. Tatizo ya hizi tender wkt mwingine kampuni inashinda kwny makaratasi kwny uhalisia ni vtu viwili tofauti,na kigezo kisiwe tu kisa wao ni lowest bidders kwny bid price,basi ndo hao hao. Evaluation Team needs a wider knowledge of different expertise kwa mchongo husika.Kuna makampuni ya wazawa ukisikia yameshinda tender unapumzika mie yangu ni haya;
-Estim Construction
-Advent Construction Ltd
 
Mwenzako aliuliza kama serikali iko na hati ndio maana nikamuuliza kwamba kama ardhi yenyewe ni Mali ya serikali, watokasaje kuwa na hati? That's common sense
wacha mambo yako hebu tizama swali lako ulilomuuliza mwanzo lina endana na hili uliloliandika sasa..?

au kiswahili chako kipo kinyume nyume
2019-09-19%2013.32.48.jpeg
 
Tandale ipi unaijua wewe, hiyo ya kuokota okota picha au, tukikuambia uzoom unapotea
Ile tandale ninayojua ama siku hizi kuna tandale mbili Dar? Halafu sasa umebadlisha goli. Mwanzoni mlisema haziko, sasa tena imekuwa tena ni story za hekaya mara tandale mara vijijini. Bure kabisa! Kwenye Swala la kimakazi, itabidi mjikaze sana kufikia Nairobi
 
Back
Top Bottom