Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi ni nini?

Hivi unazani dar kuna slums kama huko nairobi.
Mnatia aibu mna poor houses(slums) in the nairobi city hii ni aibu View attachment 1210893
20190919_063936.jpeg
20190919_063843.jpeg
20190919_063747.jpeg
 
The same world bank ikisema tz is an ldc wanapinga........these tanzanians though !!!smh
Nairobi had real estate construction projects worth $6bn in the pipeline by the time of Kidero's departure .That's almost half of Tz annual national budget so your point is moot.
 
Nyie mkionyesha nairobi ni britam na Times peke ake, hakuna majengo mengne mayb wachina wakimaliza majengo yao mtakua na cha kuonesha
Mtalia sana.First ilikua kenya imejengwa na mzungu sasa vizazi vyenu vitasema kenya ilijengwa na mchina.The constant thing ni eti Kenya inazidi kwendelea na tz wanazidi kulia na kuteta
 
Ujinga upi wakati kila mwaka mnapokea misaada ya chakula
Kutokana na uzembe wenu, ingia kwenye hiyo tweet usome comment za wakenya wenzako.

Hata Marekani pia walipokea misaada kutoka nchi mbali mbali baada ya hurricane Katrina kuleta maafa makubwa New Orleans (Qatar donated $400m ) kwa hivyo wacha ujinga na ujuaji mwingi.
 
Ushawahi kuta tukijisifia ujinga
Nyie mnajisifia ujinga huku mkipokea misaada ya chakula kutokana na njaa kuwachapa kila siku,
UAE ni jangwa karibia yote lakini walitoa msaada wa chakula kenya ambayo sio jangwa,
Ldc but wananchi wake hawana njaa,
Yaani hadi siku hizi mnaogopa kuniquote
The same world bank ikisema tz is an ldc wanapinga........these tanzanians though !!!smh
 
Ok mr dreamhouses.......those are squalors. You call apartments in dandora and huruma slums but anything in dar isn't.....its your fucking city for all we care but ugly as **** anyway
May be Dar is ugly but nairobi is the ugliest full of dream vibandas everywhere
 
Oh my!!project ya kibera na ya affordale housing zinahusianaje...
My friend..punguza konyagi please
Haha konyagi siachi mpaka niishushe ile njemba mikono chini. Halafu nyagi huku ni kitu ya kawaida Sana. Sio huko mnaitukuza Kama cognac ya Ciroc vile..maana mmezoea chang'aa

Back on biz, hizo flats kibera ni mali ya nani? Plus zile nyingine zaidi ya 40+ houses. Niambie zilijengwa kwa mradi upi kama sio huo wa cheap houses. Link niliyokuwekea hapo inayo hadi hayo mapicha yako ya kibera. Serikali inajenga vipi bila kupata Hati kwanza? Au ndio upigaji tu.

Bongo hapa ardhi ni mali ya serikali inajenga popote tu ikiamua. Hizo flat zote hadi serikali ilipe compensation ipate hati najua gharama itazidi hela za kujenga hizo flats. Hence uhuru ataendelea kuwa baba yenyu. Na vile anataka kutengeneza u-putin na u-medvedev na u-kabila na u-tshekedi.. Mpo nae sana huyo.
 
Hivi wewe unajua uhusiano wa China na Tanzania au unajiongelea tuu?

Watu tumekuwa na uhusiano na wachina toka 60's na kuwasaidia kupata kiti UN kwa ushawishi wa Nyerere chini ya Dr. Salim. Bifu lilikuwa kubwa mpaka Ronald Reagan wakati huo governor wa California akachanganyikiwa na kumpigia simu Nixon akitukana (hizi recodi za sauti kutukana zimetolewa juzi juzi tu hapa na library of congress).

Huyo Reagan mwaka 1982 akiwa Rais wa Marekani serikali yake ikapiga kura ya veto kumzuia Dr. Salim asiwe katibu mkuu wa UN. Isingekuwa veto hiyo, angekewa katibu mkuu wa kwanza kutoka Afrika hata kabla ya Boutros Ghali wa Egypt.

Rais Reagan hakumpenda Dr. Salim kwasababu yeye ndiye aliyewawezesha China kuwa na kiti cha UN badala ya Taiwan baada ya kufanya ushawishi kwa nchi za Afrika kuipigia kura China mwaka '71. Halafu eti leo ninyi ndiyo wa kutufundisha kuhusu umuhimu wa China?
watayajua wapi hayo history yao wanayoijua ni mau mau tu hapo ndipo walipoishia ,,yaani upuuzi wawakenya hakuna wanachoelewa kuhusu africa history challanges na ukombozi kwa ujumla yaani hawajui vyanzo vya michakato mingi sana kuhusu vilivyopita mi huwa nawaita STUPIDITY KENYAN
 
Lobying ni kitu inafanyika kila wakati on international matters so hii sio kitu geni uanze kuona ni kama haijawahi fanyika. Even right now, Kenya is lobying for friendly states to support her bid in becoming a member of the UN Security Council. Dr. Salim kivyake hawegeweza kusaidia China kupata hio kiti. Of course the influence of Dr Salim played a major role but that was not all it took for China to get that seat. It did a lot of lobying and this requires a lot of money
hakuna unalojya mzee hebu kale githeri kwanza kisha kasome historical indeep vizuri zaidi...

Tz ni nchi yenye ushawishi mkubwa wakimataifa kuliko ninyi kenyan chokoraa
 
Ushawishi ulifanywa na Tanzania pale Addis ilikupata kura nyingi za nchi za Afrika na Nyerere alishawishi nchi wanachama wa NAM (non aliment movement). Hivi ninyi kama nchi mlishawahi kushawishi nini, kikafanikiwa?
hapo sasa unabaka mtu,,,maana kipindi hicho wenzetu walikuwa bize kwa kujifunza english...huku wakishikwa shikwa makalio
 
Back
Top Bottom